Unawalazimisha?Mawakili wote, msimpomchagua Tundu Lissu mtakuwa mmepoteza hadhi ya TLS.
Miaka yote watanzania walio wengi hawakuisikia TLS, wengi wameisikia baada ya Tundu Lissu kuanza kugombea, kwani serikali haitaki chombo hicho kijulikane kwa watanzania.
Maana kikifanya kazi yake vyema kitakosoa vilivyo serikali.
kweli mabashite yanateseka sana hivi wanaelewa maana ya siasa kweli,kifupi ni kwamba maisha ya mwanadamu yametawaliwa na sayansi ya siasa tangu kuzaliwa kwake hadi kifo chake.hata daktari anapomfanyia mgonjwa interview kwa ajili ya diagnosis nayo ni siasa kama hamjuiTLS inaenda kuwa ni ya CHADEMA kwani mkuu wao atakuwa ametoka CHADEMA ambaye ni Lisu wa CHADEMA.
Ukweli ni kuwa TLS inaenda kujiunga na CHADEMA haitaacha tafauti za kiitikadi na kisiasa pembeni bali sikiliza kwa umakini sababu ya Lisu kuingia humo.
Mimi siko kwenye chama chochote na sipendi kuingia chama chochote, ila napenda haki, amani na upendo kwa watanzania wote. Wanasheria ni watafuta haki, amani na mwisho kunakuwa na upendo kwa kufuata masilahi ya nchi. Sijapenda na wao waingie kwenye siasa. Hata huko Isanzu kutakuwa na burugu mechi tu.
Mkuu VUTA-NKUVUTE tunaomba thibitisha hili tunajua wewe upo hukoMawakili wamelipuka kwa SHANGWE wakati TUNDULISSU anaingia kwenye ukumbi ambao mawakili wamekutania mjini Arusha. Wakati Tundulissu anaingia ukumbini, mke wa Tundulissu (ambaye ni Wakili pia), alikuwa akichangia hoja. Nini tafsiri ya shangwe ya Mawakili? Bila shaka LISSU atachaguliwa kwa kura karibia zote, tunamuomba Mwakyembe aweke juhudi kuifuta TLS.
Source; Nimesikia mwenyewe wakati nikiongea na mmoja wa mawakili.
[HASHTAG]#JSM[/HASHTAG].
sio kiongozi tu hata refaHuwezi kupata kiongozi wa tff akakosa kuwa yanga au simba
Unamaanisha nin mkuu?The return of bi kirembwe
Mzee wa Shilawadu au?Hii habari ya kwamba Tundu Lissu yupo ndani ya ukumbi itamnyima mzee hata hamu ya kula chakula cha usiku (Dinner).
Yanayojiri Mkutano wa TLS Arusha: Lau Masha apendekeza Mwakyembe afukuzwe Uanachama TLSMkuu VUTA-NKUVUTE tunaomba thibitisha hili tunajua wewe upo huko
Kawaida yenu kufikiria kwa kutumia viungo.Last resort kwenye sheria ni mahakama sio mawakili acha hizo
Mkuu tunawahitaji wote, Awe Marsha au Lissu, kwahiyo Tuliza MshonoHaafu paaap...Masha kachukua nchi...hahahaha