ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Nimesoma malalamiko ya wanafunzi wa Law School katika gazeti moja linalotoka mara moja kwa wiki siku ya jumanne na kustushwa sana na habari zile. Kati ya maombi 5,000 au sita ya kujiunga na shule ni maombi 500 tu yanayoweza kujiunga na chuo na kati ya hao ni 70 pekee wanaoweza kupata cheti kwa mwaka.
Kwa maoni yangu kati ya fani nyingi wanazosomea vijana hii ndio fani nyepesi kujiajiri lakini inapowekewa vikwazo vya jinsi hii inafaa tujiulize ni nini hasa lengo kuhusu mustakabali wa serikali na ajira za vijana iwapo utawapiga pini hata wale ambao hawatasumbua kupigia kelele ajira za serikalini na mashirika yake.
Pia fani ya sheria inahitajika sana katika kusaidia haki itendeke katikati ya jamii kwa wenye tuhuma au uhitaji mwingine kupata uhudumu wa mawakili na vilevile kuongeza na kuimarisha taasisis za utoaji haki kama vile mahakama, nk. sasa wachache wanapoamua kuibana fani ili wanufaika wawe wachache sidhani kama hiyo ni nia ya kufikia lengo jema.
Vyuo vya elimu ya juu vimeruhusiwa kisheria kuwa vingi, wahitimu ni wengi pia hivyo kuwabana warande mitaani kwa zaidi ya miaka saba au nane wakisubiri kujiunga Law school na miaka mingine kama hiyo kupa cheti cha uwakili ni jambo la kusikitisha na kushangaza sana.
Hebu serikali ilipatie ufumbuzi hili kwa kupanua Law School na/ama kuruhusu watu binafsi kusajili shule kama hiyo kuondoa tatizo hili na pia iwadhibiti hao wanaotaka kuhodhi fani ya sheria na kuifanya ya wateule; mbona hapo mwanzo haikuwa hivyo na mawakili wote wazoefu walioko sokoni na majaji ni bora sana na hawakuwa wakipitia Law School? Hii shule ni mzengwe wa kubana na kukomoa vijana wetu waliosomeshwa kwa gharama kubwa? hivi Taifa letu limeendelea kiasi hiki kuweza kupuuza nguvu kazi ya maana kama hii?
Duuu aisee kama usomi wenyewe ndio huu wa kuandika 'We want competent' mimi baaaas........Wanafunzi msiyempenda kaja,mlibebwa 4m4 ,6 na lst nako,noo? We want competent,alafu hoja ya kwamba vyuo vinatoa graduates 5000 alaf wanachomoka 70 tu hapa lst ni mfu,tena mfu!Mbona wanafunzi wa Accounts kwa mwaka ni zaidi ya 7000 na wanaopata CPA hawazidi 20?Wacheni uvivu,Ukitaka sheria ikulipe soma sana na ujishughulishe na huduma za jamii ,toa sadaka na kumwomba Mungu
Wanaopata CPA wanasomea kwenye vyuo vya NBAA? Wao si wanaratibu mitihani? NBAA nayo inafolenisha maelfu ya wanafunzi wahasibu kujiunga na chuo chake?Hilo pendekezo lako katika paragraph ya mwisho la kutaka serikali kuruhusu watu binafsi kusajili shule (Law School? sijui kivipi) au professional lawyers ni ngumu ndugu yangu. Professional bodies zinakuwa chini ya usimamizi wa serikali kwa asilimia mia moja. Mfano wa bodi kama hizo ni National Board of Accountants and Auditors (NBAA) na Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board (PSPTB) ambazo ziko chini ya usimamizi wa wizara ya fedha na mipango kwa niaba ya serikali.
Oooh. Kumbe hoja yako kubwa ni kuwa na as many law schools as possible. Nikadhani hoja yako ni ufaulu mdogo kulinganisha na number of students enrolled for professional examinations which in my opinion could have been caused by a desire to have veritable law professionals with the required competence rather than just a good many of undercooked finalists.Wanaopata CPA wanasomea kwenye vyuo vya NBAA? Wao si wanaratibu mitihani? NBAA nayo inafolenisha maelfu ya wanafunzi wahasibu kujiunga na chuo chake?
Kweli hizi shule za kata ni shiiiiida! kwa hiyo mtu akisomea nje anapata leseni ya kupractice hapa nchini? kwa taarifa yako hata waliosoma Havard wanatakiwa wafolen paleOkay,shida ni kwamba ukiomba lst ukakosa,ama ukapangiwa cohort ya 22,kaa hapo subiri sindano yako,mbona hospitali unasubiri?Benki unasubiri?Ama vipi kasome nje ya nchi hamna urasimu,its free market jombaa
Si kweli,unamaliza Llb ya Havard uloisema,Umaenda Law school ya nchi unayoimudu alafu ukija unapeleka maombi yako kwenye Counsel for legal Education,wao ndo wanaangalia kama wakupitishe ama la?Ama pia unaweza kwenda Zanzibar ,after Six months Una qualify alafu unarudi bara kuomba practiceKweli hizi shule za kata ni shiiiiida! kwa hiyo mtu akisomea nje anapata leseni ya kupractice hapa nchini? kwa taarifa yako hata waliosoma Havard wanatakiwa wafolen pale
Mkono and company advocatesmimi nilidhani kazi ya mwanasheria inajulikana kwa namba ya kesi anazoshinda na aina ya wateja wake. Hadi leo sijasikia law firm Tanzania inawakilisha multinational corporation yoyote lakini kama zipo ningependa kujua.
Si kweli Vyuo kama RUCo 100,Tumaini iringa 100,St .Augustine mwanza 150,Udsm 100,KIU 150,OUT 300,Mzumbe 200,Na vyuo vingine sekuko,makumira,, havifikishi wanafunzi 1000.Selection ya lst huwa wanatoa majina ya watu wote walio omba na walio kosa na sababu za kukosa kwao.Nakumbuka haijawahi kuzidi watu 2000 walioomba kwa mkupuo.Hata waombe elf 5 wote wanachaguliwa alafu wanagawanywa kwa cohort tofauti ,sasa wewe uliyekosa angalia reason si kuja huku kulia lia,wewe unalia,dem wako analia,hivi wanaume wa dar mkoje?Maombi 5000??
Kila mwaka??
Umeandika vyema!Si kweli Vyuo kama RUCo 100,Tumaini iringa 100,St .Augustine mwanza 150,Udsm 100,KIU 150,OUT 300,Mzumbe 200,Na vyuo vingine sekuko,makumira,, havifikishi wanafunzi 1000.Selection ya lst huwa wanatoa majina ya watu wote walio omba na walio kosa na sababu za kukosa kwao.Nakumbuka haijawahi kuzidi watu 2000 walioomba kwa mkupuo.Hata waombe elf 5 wote wanachaguliwa alafu wanagawanywa kwa cohort tofauti ,sasa wewe uliyekosa angalia reason si kuja huku kulia lia,wewe unalia,dem wako analia,hivi wanaume wa dar mkoje?
Wanaopata CPA wanasomea kwenye vyuo vya NBAA? Wao si wanaratibu mitihani? NBAA nayo inafolenisha maelfu ya wanafunzi wahasibu kujiunga na chuo chake?
Waliograduate vyuo vya nje ni wangapi? wanaotokea maofisisni ambao waligraduate na kuajiriwa kabla ya urasimu wa Law School ni wangapi? mahakimu wa mahakama za wilaya, hakimu mkazi, Mabaraza ya ardhi nchi nzima ni wangapi? kuna watu hapa wanapenda kuongea wasikie mlio wa sauti zao lakini pumba tuUmeandika vyema!
Kupata graduates 5000 kwa mwaka fani moja sio rahisi kwa Tz.
Ila Ukamaliza kipuuzi!
Sioni mahali pameandikwa kufelisha hapo acha kukurupukaRekebisha kidogo hakuna shule yoyote ambayo kazi yake ni kufaulisha au kufelisha, hilo ni jukumu la mwanafunzi na alikubali
Umeandika vyema!
Kupata graduates 5000 kwa mwaka fani moja sio rahisi kwa Tz.
Ila Ukamaliza kipuuzi!
Sioni mahali pameandikwa kufelisha hapo acha kukurupuka
UNATAKIWA KUREPLY HOJA ILIYOKO MEZANI SIO KUPIKA NA KUZALISHA FIKRA MPYA; KUFOLENISHA HAPO ILIMAANISHA KUSUBIRISHA WATU KUJIUNGA SHULE KWA MUDA MREFU KUTOKANA NA UWINGI WA MAOMBINenda beyond kidogo foleni hiyo ni kwa ajili gani?
Mkuu acha utani, hivi IMMA Advocates, Mkono and Company advocates, Rex Attorneys etc zipo nyingi mkui