Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
huyu kiongozi muafrika kaisia wapi? sijamsikia long time saan ..afrika inachekesha kweli ..
anatofauti gani na mkulu?
anatofauti gani na mkulu?
Kuna tofauti kati ya Gbagbo na Balali (bilali?). Gbagbo anajulikana alipo na ameshatembelewa na Bishop Desmond Tutu, Kofi Annan, na Mary Robinson (UN Human Rights chief)labda naye kafichwa kama bilali