Mshikaj mmoja alikuwa na ding yake, akamwona dem wake anakuja, bahat mbaya dingi alikuwa mkali sana na mazungumzo yao yalikuwa hiv...
MSHIKAJ: Umekuja kuchukua kile kitabu cha speak english my father doesn't know?
DEMU: Yeah, na kile cha where should l wait u?
MSHKAJ: Dah! hicho hakipo labda kile cha wait me under the coconut tree!
DEMU: Sawa ucsahau kile cha I give u 5 minutes. MSHIKAJ: Yeah, nitakupa pia na kile cha I wont let you down.
DING: mbona vingi sana atavisoma vyote?
MSHIKAJ: Aaah, huyu dada anasoma sana vitabu na ndo anatuongoza Darasan.
DING: Mpe basi na kile cha I am not that much stupid...