Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,308
- Thread starter
-
- #201
Hicho kifaa alichotumia kugongea hodi ni kiboko /saizi ya mchi wa kutwsngia kinuA Girl posts an advertisement in newspaper for her Life-partner.
"Need a person
can satisfy me on bed"
Girl: who are U?
Guy: I want to be ur husband.
Girl: U don't fit for that.
Guy: I don't have arms,
So i can't beat u.
I don't have legs,
so i can't leave u.
Girl: How can u satisfy me on bed ?
Guy:
How do u think i knocked the door..?
Mpare bahili alinunua mbuzi. Akamwambia mpishi, 'nyama nuthu ipike pilau na nyngne itie kweny fridha, kichwa fanya thupu na miguu fanya mchudhi chuku chuku. Ngodhi uthitupe tutafanya mthwala, utumbo pika na ndidhi, mifupa tutawaudhia wenye mbwa. Mkia nitengenedhee uthinga wa kufukudhia indhi, kinyethi kihifadh kwa mbolea ya bustan,kwato ntapeleka kwa waganga,maini weka rothti Mpishi akamuuliza, 'hutaki na sauti ya mbuzi 2fanye ring tone kwenye cmu yako ?'
Mke kampa mumewe Radio aende Nayo chooni kwa kuwa Anakaa Chooni Mda Mref.
Aliporudi Mke Akauuliza
"Vp Ume Enjoy?"
Mume Akajibu.. ah! Wapumbavu hawa leo Wameniekea Wimbo wa Taifa,Nimekunya kwa kusimama!
There are 3 rooms
1. Gold Coins
2. Currency Notes
3. Cotton Bags
If the 3 rooms catch FIRE, on which room will the ambulance pour water 1st?
Reply to me and I'll tell you what your IQ is!
Mshikaji baada ya kiu kumbana ikabidi agonge nyumba ya karibu kuomba maji akapewa maziwa,mshikaji akaomba tena akapewa tena maziwa,ikabidi aulize mbona mnagawa maziwa kwa wingi? Dogo akajibu maziwa yameingia panya hivyo kila mtu hayataki,Mshikaji akapigwa na butwaa glass ikamponyoka na kuvunjika, Dogo kuona vile akapiga kelele "Mama ile Glass ya bibi anayotemea mate ishavunjika" Mshikaji chini kazimia....
I read smoking is bad, I stopped smoking
I read drinking is bad, I stopped drinking
I read Sex is bad, I stopped Reading!!!:wink2:
Sharobaro alikuwa anatokea demu, akatoka naye dinner kwenye subway moja, akawa anasikia muziki mkubwa wenye beats za kutosha, ghafla akajisikia kupumua na ikawa noma kwake maana demu yuko mbele yake halafu watu nyomi.
Akaamua kupumua kwa kufuata beats za muziki ili isisikike. Ghafla akaona demu anaondoka kwa hasira halafu watu wote wanamtazama kwa mshangao.
Akagundua jambo,
''khaa!!! kumbe muziki unatoka kwenye head phone za ipod zangu bana''