ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,591
Mamlaka ya udhibiti wa Huduma za Nchi kavu na makini LATRA imepiga marufuku watu ambao hutumiwa Mabasi kufanya mahubiri na kufanya biashara mbalimbali zikiwemo za Madawa ya Asili nk.
My Take: Naunga mkono uamzi huu maana mlichelewa sana. Watu wale Huwa wanakera mno.
My Take: Naunga mkono uamzi huu maana mlichelewa sana. Watu wale Huwa wanakera mno.