Analogia Malenga
Platinum Member
- Feb 24, 2012
- 5,292
- 10,842
Hawa LATRA leo wameamka na mimi maana tangu asubuhi haipiti nusu saa bila kupata sms zao. Hivi kuna posho kwenye hiyo conference.
Wamekupiga kiasi gani?Wasenge sana hawa viumbe jana wamenikamata na kiboxer change eti hakina leseni
Faini 15,000 halafu ndio nikalipe 17,000 ya leseniWamekupiga kiasi gani?