LATRA kama wamenipania na sms zao

LATRA kama wamenipania na sms zao

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
Hawa LATRA leo wameamka na mimi maana tangu asubuhi haipiti nusu saa bila kupata sms zao. Hivi kuna posho kwenye hiyo conference.

Screenshot_20251118_154217_Messages.jpg
 
Mimi kuna sms za POLISI, TAKUKURU sijui wajinga gani hao nimejaribu kuziripotia kwamba ni spam naona bado zilikuwa zinaingia hatimae nimezi block zote.
 
Wasenge sana hawa viumbe jana wamenikamata na kiboxer change eti hakina leseni
 
Back
Top Bottom