charlesfundi
Senior Member
- Jun 5, 2017
- 197
- 242
Niko namalizia hapa jackdaniel ndogo huku nikiwaza na kujiuliza nikwanini niliuza game kwa dem ambae haeleweki stress mbaya sana nimeambulia leo final warning dhaa mood mbaya sana..ndugu zangu..
Mkuu pole sana kapime upate uhakika wa afya yakoNiko namalizia hapa jackdaniel ndogo huku nikiwaza na kujiuliza nikwanini niliuza game kwa dem ambae haeleweki stress mbaya sana nimeambulia leo final warning dhaa mood mbaya sana..ndugu zangu..
Asante ♡♡Pole sana kaka, kuwa na Imani, nakuombea kesho ikawe siku nzuri kwako
Wee si ulisema ni mgumu? Wagumu nao huwa mnapata heart broken.🙄I am heartbroken 😪😪😪
Basi nipotezee mkuu, hamna mkate mgumu mbele ya chaii🙄🙄Wee si ulisema ni mgumu? Wagumu nao huwa mnapata heart broken.🙄
Ndio mkubwa saizi nina mwezi nanusu atleast nataka ipite miezi miwili ndo nikapime shida inakuja nina final warning job yaani nahemea jujuu eeh Mungu nisaidie..Mkuu pole sana kapime upate uhakika wa afya yako
Basi nipotezee mkuu, hamna mkate mgumu mbele ya chaii
Ndiyo hata wewe pamoja na kitambi chako hicho siku ukiachwa utapiga makelele 😀😀
Niko na maumivu makali ya menstrual period muda huu
Sijioni nikipata usingizi anytime soon
Pole sana mkuu, jitahidi usiingie tena kwenyw danger zone, all shall be wellNdio mkubwa saizi nina mwezi nanusu atleast nataka ipite miezi miwili ndo nikapime shida inakuja nina final warning job yaani nahemea jujuu eeh Mungu nisaidie..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Thinking one day ntakuja pata soldier wangu anipende mpka nichanganyikiwe
Ngoja niamke nkakojoe sasa
I am heartbroken