Last respects: Dr ferdinand masau.

Last respects: Dr ferdinand masau.

Moony

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
1,599
Reaction score
436
Kwa wote wasio na taarifa:

Kesho jumapili tarehe 19 May 2013; saa tano asubuhi zitafanyika heshima za mwisho kwa mpendwa wetu Dr MASAU katika hospitali ya AGA KHAN Upanga.
 
Mniwakilishe jameni kwani kazi ya huyu mzalendo ilikuwa kubwa basi tuu ikaonekana bora mtu afe kuliko safari za ulaji za India
 
apunzike kwa amani mtetezi wa wanyonge Tanzania
alijitolea kuwahudumia wagonjwa maskini
lakini serikali ikashindwa kumthamini.
 
Bwana ametoa na Bwana ametwaa na cha maana ni tuyaenz yale yote aloyafanya ili nchi yetu isonge mbele na katika maisha yake tunajifunza kua katika kila jambo ili ufanikiwe kuna changamoto nyng yabd upitie
 
Eternal light grant him Ooh Lord!
Let him rest in peace.
 
Dah, Hayati Dkt Masau amefariki akiishi kwenye Makazi yasioendana na Hadhi na Mchango wake kwa Taifa kule Mbweni Nje Kabisa ya Jiji la Dar es salaam. Historia na Mchango wako umeandikwa kwenye Vifua vya wazalendo!
 
Buriani Dr. Ferdinand Masau.
Kazi uliyo anzisha imeonekana.
Rest in Peace.
 
Dah, Hayati Dkt Masau amefariki akiishi kwenye Makazi yasioendana na Hadhi na Mchango wake kwa Taifa kule Mbweni Nje Kabisa ya Jiji la Dar es salaam. Historia na Mchango wako umeandikwa kwenye Vifua vya wazalendo!
Huyo ndo mpenda wengine, wote tunastahili hali Bora,ameishi kati yetu, alikuwa mwenzetu. R.I.P
 
Nimezoea kuwaona viongozi wetu wa kitaifa wakihudhuria kila msiba lakini cha ajabu sijaona hata press release ya ikulu ikitoa pole kwa familia ya Dr Massau km ambavyo tumekuwa tunaona inatoa hata ya wasanii? Kulikoni leo hata Kikwete, waziri mkuu na mawaziri wake hasa wa wizara ya afya kutohudhuria kuaga mwili hata kuhani tangu dr Massau afariki majuzi? Jamani serikali walau itambue tu hapa mchango wake japo Dr Massau sasa ni marehemu.
 
Angekua msaanii wangeenda , sasa huyo jamaa alikua anabana riziki zao za kupeleka wagonjwa india waende kufanyanini kwa msiba wake, tumia akili fikiria jamaa anayekata mrija wako wa menu uambiwe kafa utaenda msibani au utashangilia?
 
angekuwa muumbia mipasho wange miminaka...viongozi wengi wa bongo hamnazo...wanawafanya wananch kama mifugo
 
Bahati mbaya Dr. Masau si bongo movie wa bingo fleva! Angekua kwenye category hizo, ungewasikia na kuwaona. Shame on them!
 
Bahati mbaya Dr. Masau si bongo movie wala bongo fleva! Angekua kwenye category hizo, ungewasikia na kuwaona. Shame on them!
 
Madaktari, waalimu, wanafunzi wa vyuo vikuu na wafanyakazi wanagoma... Lakini wasanii hawajawahi wala haitatokea wakaigomea serikali yetu tukufu!
 
Huhitaji kwenda chuo kikuu kujua aina ya viongozi wetu, kwa Bibi Kidude viongozi walikuwa wanapigana vikumbo kwa Mpiganaji Dr Massau hakuna hata mmoja, hapa utajua priority ya Serikali ya Ccm mwenye macho haambiwi tazama.
 
Back
Top Bottom