Last respects: Dr ferdinand masau.

Last respects: Dr ferdinand masau.

Watanzania hawajui kuthamini mchango chanya wa mtu katika maisha yao. Dr Masau alitakiwa kupata waombolezaji wengi kuliko Kanumba

Serikali imetia aibu. Walishindwa hata kumpeleka India kwa matibabu ili arudi kuendelea kusaidia waTz?
 
Sina mengi ya kusema, pumzika kwa amani Dr.Masau,hakika nitakukumbuka daima kwa moyo wako wa uzalendo.
 
Chris Lukosi hebu jibu hapa coz naona hata Dr. Magumashi hajahudhuria kulikoni wakati inajulikani kabisa hizi ndiyo shughuli zake za kila siku akiwa Magogoni?
 
Nimezoea kuwaona viongozi wetu wa kitaifa wakihudhuria kila msiba lakini cha ajabu sijaona hata press release ya ikulu ikitoa pole kwa familia ya Dr Massau km ambavyo tumekuwa tunaona inatoa hata ya wasanii? Kulikoni leo hata Kikwete, waziri mkuu na mawaziri wake hasa wa wizara ya afya kutohudhuria kuaga mwili hata kuhani tangu dr Massau afariki majuzi? Jamani serikali walau itambue tu hapa mchango wake japo Dr Massau sasa ni marehemu.

Hapa si uliona serikali ilivyoshambuliwa juu yake! ilikuwa ni vigumu sana wao kuhudhuria
 
Nimezoea kuwaona viongozi wetu wa kitaifa wakihudhuria kila msiba lakini cha ajabu sijaona hata press release ya ikulu ikitoa pole kwa familia ya Dr Massau km ambavyo tumekuwa tunaona inatoa hata ya wasanii? Kulikoni leo hata Kikwete, waziri mkuu na mawaziri wake hasa wa wizara ya afya kutohudhuria kuaga mwili hata kuhani tangu dr Massau afariki majuzi? Jamani serikali walau itambue tu hapa mchango wake japo Dr Massau sasa ni marehemu.

Serikali yako vipaumbele vyao ni Bongo fleva tu. Wakialikwa uzinduzi wa wimbo wa Taarabu utaona wanavyojituma. Shameful gvt...
 
Watanzania tulikwisha ambiwa huyu jk hafai kuwa rais kiherehere chetu kimetuponza..nchi haina priorities na utashi....shame on you jk ...kafa kanumba ulifunga barabara sinza wewe..kafa masau unajifanya huna habari
 
Possibly wao ndio walio muua.... Sijaielewa hii serikali inaonesha picha gani maana kwa jitihada alizofanya huyu ndugu nilitarajia serikali ndio iwe ya kwanza kulia kwa kupoteza mtu muhimu. Inaonekana serikali inafanya sherehe kwa hili tukio.
 
Bado tuna kazi ngumu sana ya kuamsha mioyo ya watanzania!
 
Yale ya kijinga Watanzania ndio uyashabikia kwa sana,ila yale yaliyo ya msingi hayana nafasi kwetu,na huu ni utaratibu wa ajabu na wakijing kabisa tuliojiwekea kuanzia katlkati mwa miaka ya tisini,kalale pema peponi Dr F. Masau,ulikua mzalendo wa dhati uliyetumikia taifa lisilojua nini maana ya uzalendo bali lenye kuthamini ubinafsi,wizi,rushwa na ufisadi!ukweli utabaki kua ukweli,wewe ni zaidi ya wao
 
Back
Top Bottom