Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Nyota ya huyu Kijana inazidi kung'aa tu. The guy is achieving greatness right infront of us. Hongera Larry. Alianzia KTN akaenda Ntv, Kisha akaenda BBC, sasa yuko CNN.
Amekuwa Nairobi Correspondent kwa miezi miwili tu sasa amepandishwa cheo na kuwa international correspondent, sasa kazi yake itakuwa ni kureport habari zinazotokea duniani kote iwe ni Marekani au Afrika au Asia. Hongera sana kijana wa nyumbani.
Amekuwa Nairobi Correspondent kwa miezi miwili tu sasa amepandishwa cheo na kuwa international correspondent, sasa kazi yake itakuwa ni kureport habari zinazotokea duniani kote iwe ni Marekani au Afrika au Asia. Hongera sana kijana wa nyumbani.