S SunStrong Member Jan 24, 2011 56 3 Aug 1, 2011 #1 Wadau nina laptop mimenunua sasatel ila I WONDER WHY INAGOMA KUKONECT NA MODEM NYINGINE KAMA VODA,TIGO,AIRTEL
Wadau nina laptop mimenunua sasatel ila I WONDER WHY INAGOMA KUKONECT NA MODEM NYINGINE KAMA VODA,TIGO,AIRTEL
ChelseaBlue Senior Member May 22, 2011 148 43 Aug 1, 2011 #2 nadhani na hiyo inahitaji kuflashiwa'......
Osaba JF-Expert Member Apr 10, 2011 1,937 772 Aug 2, 2011 #3 format na ufute kila kitu kilichomo na uanze upya kabisa.
HT JF-Expert Member Jul 29, 2011 1,897 414 Aug 2, 2011 #4 una maana gani unaposema haiunganishi? Umeongea kijumla jumla sana. Hebu kuwa maalum basi! Eleza umefanyaje na nini hakifanyi nini!
una maana gani unaposema haiunganishi? Umeongea kijumla jumla sana. Hebu kuwa maalum basi! Eleza umefanyaje na nini hakifanyi nini!