Laptop yangu inashidwa kufungua ma-file

Laptop yangu inashidwa kufungua ma-file

Emasse

Member
Joined
Sep 19, 2014
Posts
31
Reaction score
0
Wadau naombeni msaada kwasasa laptop yangu inashindwa kabisa kufungua files.

Mfano nilfungua website ya TCU na kujaribu kufungua GUIDE BOOK 2014/15 ilishindwa na pia nikitaka kuangalia students selected to join various universities pia haifungui.

Ila zamani nilikuwa na uwezo wa kufanya yote haya.
 
Wadau naombeni msaada kwasasa laptop yangu inashindwa kabisa kufungua files...mfano nilfungua website ya TCU na kujaribu kufungua GUIDE BOOK 2014/15 ilishindwa na pia nikitaka kuangalia students selected to join various universities pia haifungui........ila zamani nilikuwa na uwezo wa kufanya yote haya
nadhan hzo files zipo kweny format ya PDF,,cha kufanya download adobe reader au foxit reader then ui-instal kweny laptop yako,
 
Back
Top Bottom