Nmeshaangalia hadi kwa toch hamna kitu na kitambaa klikua na unyevu unyevu sio maj kabsa na nlisafisha sehem ndogo san ambayo ilkua na uchafu sio kioo choteNani alokwambia kioo cha laptop husafishwa kwa kitambaa chenye maji..
Angalia vizuri ikiwa imewaka kama maandishi au picha zinaonekana kwa mbali sana ?tumia torch..
Uje kujibu kama hakioneshi kitu kabisa
Asante sana mkuusiku nyingine uwe unafanya hivi unapotaka safisha kioo cha laptop/tv/monitor yako
View attachment 1337130
Kitambaa klikua na unyevu sio maji kabsa mkuu ila ndo ivo ishatokeaMkuu wewe ni mjinga sana. Unasafisha na maji? Pole hata hivyo.
Yes bro nilfanikiwaUlifanikiwa kupata solution !?
Nlpeleka kwa fund kwa bahat nzuri au mbaya kila kitu kilikua sawa isipokua iliua ram tu bas