Mdogo wangu aling'ang'ania anunuliwe Laptop nikamnunulia, sio kwasababu ya ujinga, hapana.ilikuwa kumridhisha na kwasababu ilikuwa ndani ya uwezo wangu.
Lakini nimekuwa nikimuuliza unaitumiaje?!My,Google, anasema vitu vingi tu, lakini miminimesema, nilikuwaanaandika, notes kwenye daftari na kujisomea vitabu library. Sikuwahi ona mahitaji ya Laptop. Sasa mnisaidie wenzangu, mliowahi kusoma vyuo, na wanafunzi wa leo, hizo laptop mnazitumiaje chuoni?!
Binafsi labda hata angeomba photocopier machine, maana naona ana toa copy sana kuliko hata kuandika.
Lakini kanunua laptop badala yake. Inatumikaje?!
Lakini nimekuwa nikimuuliza unaitumiaje?!My,Google, anasema vitu vingi tu, lakini miminimesema, nilikuwaanaandika, notes kwenye daftari na kujisomea vitabu library. Sikuwahi ona mahitaji ya Laptop. Sasa mnisaidie wenzangu, mliowahi kusoma vyuo, na wanafunzi wa leo, hizo laptop mnazitumiaje chuoni?!
Binafsi labda hata angeomba photocopier machine, maana naona ana toa copy sana kuliko hata kuandika.
Lakini kanunua laptop badala yake. Inatumikaje?!