Nina laptop mbili zinauzwa kwa shilingi laki tatu na nusu kamili ni safi zisizo na matatizo yeyote kwa mawasiliano wasiliana nami kwa 0764435828 nipo mabibo.
storage capacity ni (78 gb) ram ni (1 gb) moja ina rangi nyeupe na nyingine ina rangi nyeusi HAKUNA TATIZO ITABID MNITUMIE MAELEKEZO NIJUE JINSI YA KUCHANGIA JF
storage capacity ni (78 gb) ram ni (1 gb) moja ina rangi nyeupe na nyingine ina rangi nyeusi HAKUNA TATIZO ITABID MNITUMIE MAELEKEZO NIJUE JINSI YA KUCHANGIA JF
Na Kwa wale wenye matatizo ya Spea za Laptop au Desktop Computer spea za aina yoyote ile zilizoshindikana hapo Nyumbani Tanzania kupatikana ninamaanisha hakuna spea hapo Bongo wajaribu kuwasiliana na mimi nitaweza kuwasaidia Asanteni