LAPTOP INAHITAJIKA

LAPTOP INAHITAJIKA

kitally

Member
Joined
Aug 18, 2016
Posts
80
Reaction score
24
Wadau kuna mtu anahitaji laptop used iwe ya aina yoyote na ukubwa wowote... But iwe katika hali nzuri kidogo bei iwe Tsh. 200000/=

Kwa mawasiliano 0656801229
 
Wadau kuna mtu anahitaji laptop used iwe ya aina yoyote na ukubwa wowote... But iwe katika hali nzuri kidogo bei iwe Tsh. 200000/=

Kwa mawasiliano 0656801229
Nicheki PM niko Dodoma ninayo ya kwangu nauza
 
Chief msaada kwenye tuta, nakuunganishia hapa hapa nlipokukuta, nimeshindwa kuattach picha ifuatayo inbobo....
Kun hii error, kama unaeza nisaidia wazo inakuaje..

1474138308393.jpg
 
Chief msaada kwenye tuta, nakuunganishia hapa hapa nlipokukuta, nimeshindwa kuattach picha ifuatayo inbobo....
Kun hii error, kama unaeza nisaidia wazo inakuaje..

View attachment 402153
mkuu jaribu kuhamisha hio hdd kwenda machine nyengine au chukua hdd nyengine test kwako, sina uhakika tatizo ni nini hapo ila inawezekana hdd ikawa malfunction, nimeona solution nyingi online ni kufix mbr na pc nyengine

cheki hapa zaidi kuhusu mbr
https://neosmart.net/wiki/fix-mbr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom