Nicheki PM niko Dodoma ninayo ya kwangu nauzaWadau kuna mtu anahitaji laptop used iwe ya aina yoyote na ukubwa wowote... But iwe katika hali nzuri kidogo bei iwe Tsh. 200000/=
Kwa mawasiliano 0656801229
Chief msaada kwenye tuta, nakuunganishia hapa hapa nlipokukuta, nimeshindwa kuattach picha ifuatayo inbobo....
mkuu jaribu kuhamisha hio hdd kwenda machine nyengine au chukua hdd nyengine test kwako, sina uhakika tatizo ni nini hapo ila inawezekana hdd ikawa malfunction, nimeona solution nyingi online ni kufix mbr na pc nyengineChief msaada kwenye tuta, nakuunganishia hapa hapa nlipokukuta, nimeshindwa kuattach picha ifuatayo inbobo....
Kun hii error, kama unaeza nisaidia wazo inakuaje..
View attachment 402153