Hujaweka information yoyote ndugu......aina gani ya laptop, ilianzaje? sasa hivi ukiwasha inafanyeje? (lazima kuna kitu inafanya) unafikiri tatizo limesababishwa na nini......ukibonyeza power Button inafanyaje......
naombeni msaada wakuu, laptop imegoma kuwaka. Tatizo ni nini? Na litatatulikaje?