LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

Pigo la msumari wa mwisho kwenye mradi tembo mweupe wa Lamu umefika baada ya Somalia kuanziasha mradi wa Hargesia Bypass ambayo itaanzia Berbera corridor ambapo itaunga hadi Wanjale Ethiopia.

Expansion in Berbera port na turkey influence katika maritime trade and investment in Somalia ndio imewavuta UK ku finance hiyo Bypass kubwa ya kimkakati. Na distance from Somali to Ethiopia ni fupi zaidi. Na pia S. Sudan wako na strong economic ties and relation with Ethiopia than kenya, so the network will extend from berbera corridor via wanjale Ethiopia to Juba.

Tony254 Yosef Festo
Sio mbaya kuota. Wacha waendelee kuota tu. Kenya itabaki kuwa the premier port hub destination In East Africa.
 
World news story

UK Ambassador launches construction of the Hargeisa bypass​

Ambassador Kate Foster, in her first visit to Somaliland, launches construction of the Hargeisa bypass.
From:British Embassy Mogadishu
Published:4 May 2021

s300_Barbera_bypass.jpg

The British Ambassador, Kate Foster, visited Hargeisa this week to reaffirm the strength of the UK’s partnership with Somaliland including in the trade and development sector.

In her first visit to Somaliland since her appointment in February, Ms. Foster joined President Muse Bihi in launching the main construction phase of the 22.5 km Hargeisa bypass. The UK-supported bypass will reduce the time and cost of transporting goods between Berbera Port and landlocked Ethiopia by addressing a strategic checkpoint on the Berbera corridor.

In the construction phase, particular attention will be paid to climate proofing, ensuring the road is built to last. Protection of local heritage is also a key consideration, recognising the road’s proximity to the iconic Nasa Hablood hills – the symbol of Hargeisa city.

The corridor is already facilitating the delivery of much-needed humanitarian assistance to vulnerable communities in the wider region. The World Food Programme uses Berbera to bring 65% of its food aid into Ethiopia. With Ethiopia’s trade volumes projected to continue expanding, Berbera also represents an alternative for increasing trade and prosperity in the Horn of Africa.

The continued development of the Berbera corridor will ensure that ordinary people from across Somaliland will benefit from inclusive economic development. Future UK support will focus on more efficient cross border trade between Somaliland and Ethiopia including through the use of one-stop border posts, cargo tracking systems and efficient regulation at the border.

At the launch event, Somaliland President, Muse Bihi, said:
I would like to thank the UK and partners for their role in investing in Somaliland’s infrastructure to boost the economy, which will help in service delivery as well as create employment.
Speaking at the opening ceremony, Kate Foster said:
We are proud to support the Hargeisa bypass, which is a crucial part of the Berbera corridor. Once this 240 km project – in coordination with our Abu Dhabi and European partners – is completed late next year, it will improve the lives of hundreds of thousands of people by creating jobs, unlocking the region’s economic potential and ease the delivery of humanitarian supplies.
At a time of huge challenges for Somaliland, including tackling COVID-19, this is a demonstration of the UK’s commitment to the people of Somaliland.
Eugene Torero, Director of Trade Policy at TradeMark East Africa, said:
We are grateful for the continued support by United Kingdom and the fruitful partnership with the Somaliland government which has ensured steady progress in the construction of this important road amidst many challenges.
TMEA is committed to continue implementing various initiatives, with the government, that will support Somaliland’s agenda in increasing trade not only within its borders but also with its neighbours consequently creating jobs and helping reduce poverty.



 
Pigo la msumari wa mwisho kwenye mradi tembo mweupe wa Lamu umefika baada ya Somalia kuanziasha mradi wa Hargesia Bypass ambayo itaanzia Berbera corridor ambapo itaunga hadi Wanjale Ethiopia.

Expansion in Berbera port na turkey influence katika maritime trade and investment in Somalia ndio imewavuta UK ku finance hiyo Bypass kubwa ya kimkakati. Na distance from Somali to Ethiopia ni fupi zaidi. Na pia S. Sudan wako na strong economic ties and relation with Ethiopia than kenya, so the network will extend from berbera corridor via wanjale Ethiopia to Juba.

Tony254 Yosef Festo
Ulizaliwa lini kaka? Hivi unaijua Kenya kweli? Unafikiri sisi huogopa mashindano kama nyinyi. Tunaikaribisha Somaliland kwa mchezo ambao tumebobea!
 
Ulizaliwa lini kaka? Hivi unaijua Kenya kweli? Unafikiri sisi huogopa mashindano kama nyinyi. Tunaikaribisha Somaliland kwa mchezo ambao tumebobea!
Ukweli kabisa🇰🇪🔥🔥Sisi wakenya Mpaka michezo ya Biashara Tunayapeleka kwao Tuone Kama watawezana,Mpaka USA wakenya wanatambulika wafanyabiashara Aggressive Yani Wakakamavu mpaka uwawekee vikwazo Bado Biashara zao Zitaendelea.The only thing that makes a Kenyan to Smile is 💰
 
Ulizaliwa lini kaka? Hivi unaijua Kenya kweli? Unafikiri sisi huogopa mashindano kama nyinyi. Tunaikaribisha Somaliland kwa mchezo ambao tumebobea!
Hamjawahi kuweza mashindano. Mmejaa ubinafsi tu na roho mbaya. That's what your good at.

Na ndio maana jamaa yenu amegeuka kituko ana haha kukimbilia kila mahali. Sio mtu wa kuaminika.. He runs the country as a private family kiosk. After expansion in Somalia port na road network ndo utajua hujui.. Hapa unaongelea past glories which is irrelevant to the current situation
 
Hamjawahi kuweza mashindano. Mmejaa ubinafsi tu na roho mbaya. That's what your good at.

Na ndio maana jamaa yenu amegeuka kituko ana haha kukimbilia kila mahali. Sio mtu wa kuaminika.. He runs the country as a private family kiosk. After expansion in Somalia port na road network ndo utajua hujui.. Hapa unaongelea past glories which is irrelevant to the current situation
Sisi ndo logistical hub ya ukanda huu despite Tanzania being in a better geographical position, hii haijafanyika kwa bahati mbaya, Kila Jambo mnalofanya pale Dar port sisi tuko 10 steps ahead! Hakuna mtu anaweza kutupiga hii game, Bagamoyo tu ndo ulikua tisho kubwa lakini vile ilikufa hatuna tishio lengine lolote la Aina hio
 
Video that gives more information about mobile harbour cranes and how they can be used to unload a ship. This crane is flexible and can handle containers but it is also good at handling other types of goods (e.g lifting motor vehicle or large heavy blocks or even bulk cargo like grains) compared to a ship to shore crane which is mostly designed to handle containers.

 
Sisi ndo logistical hub ya ukanda huu despite Tanzania being in a better geographical position, hii haijafanyika kwa bahati mbaya, Kila Jambo mnalofanya pale Dar port sisi tuko 10 steps ahead! Hakuna mtu anaweza kutupiga hii game, Bagamoyo tu ndo ulikua tisho kubwa lakini vile ilikufa hatuna tishio lengine lolote la Aina hio
Logistical hub to where my friend? You're talking about mthy and fantasy here.. But when we come on ground you know who is a real deal.

The central corridor which we're serving has a lot of shipments than yours of the northern. I understand there is a challenge of data and statistics but it's a no secret that Dar port has bigger operations in this region.
 
Logistical hub to where my friend? You're talking about mthy and fantasy here.. But when we come on ground you know who is a real deal.

The central corridor which we're serving has a lot of shipments than yours of the northern. I understand there is a challenge of data and statistics but it's a no secret that Dar port has bigger operations in this region.
Hahaha Dar port na 16m tonnes kwa mwaka wakati mombasa inapitisha 31 million tones alafu unatarajia mue na meli nyingi zaidi zinapiga route yenu?

Alafu data na statistics ziko mkuu, kama unataka uliza uletewe, ni vile sahii niko njiani, jioni ukitaka ntakutaftia.
 
Hahaha Dar port na 16m tonnes kwa mwaka wakati mombasa inapitisha 31 million tones alafu unatarajia mue na meli nyingi zaidi zinapiga route yenu?

Alafu data na statistics ziko mkuu, kama unataka uliza uletewe, ni vile sahii niko njiani, jioni ukitaka ntakutaftia.
Data kutoka wapi? Hizo data uchwara Sina kazi nazo. Where do you get kwamba Dar port handle 16m tonnes a year?

Hivi kwa kawaida tu unaweza kulinganisha trade and cargo volumes ya central corridor na Northern corridor?

Naomba statistics from biggest and reputable shipping companies zinazofanya route area hii. Watoe mchanganuo wapi Wana offload na ku load kwa Sana between this two ports. Usilete jaba stories hapa.
 
Data kutoka wapi? Hizo data uchwara Sina kazi nazo. Where do you get kwamba Dar port handle 16m tonnes a year?

Hivi kwa kawaida tu unaweza kulinganisha trade and cargo volumes ya central corridor na Northern corridor?

Naomba statistics from biggest and reputable shipping companies zinazofanya route area hii. Watoe mchanganuo wapi Wana offload na ku load kwa Sana between this two ports. Usilete jaba stories hapa.
Wewe umesema mko na shipments nyingi kutuliko, niletee hizo takwimu Kwanza ndo tujue uko serious. Manake pale ulipofika Tayari nishakuona uko na zile tabia za typical Tanzanian, maneno makubwa lakini ikija kwa ushahidi hauna lolote, alafu ukitolewa ushahidi utakana hadi babako kama ni mwanamme au la.
 
Logistical hub to where my friend? You're talking about mthy and fantasy here.. But when we come on ground you know who is a real deal.

The central corridor which we're serving has a lot of shipments than yours of the northern. I understand there is a challenge of data and statistics but it's a no secret that Dar port has bigger operations in this region.
Mombasa port handles double the tonnage of goods handled in Dar port. Una upuuzi mwingi sana lakini kwenye uzi huu Watanzania walitoroka kwa sababu ya kichapo wanachopata. Huku hatubembelezi Watanzania. Hata wewe utatoroka tu.
 
Data kutoka wapi? Hizo data uchwara Sina kazi nazo. Where do you get kwamba Dar port handle 16m tonnes a year?

Hivi kwa kawaida tu unaweza kulinganisha trade and cargo volumes ya central corridor na Northern corridor?

Naomba statistics from biggest and reputable shipping companies zinazofanya route area hii. Watoe mchanganuo wapi Wana offload na ku load kwa Sana between this two ports. Usilete jaba stories hapa.
Wacha ujinga wewe. Mbona unashangaza kwa arguments za kishamba. Sasa shipping lines zitakeep records vipi? Body inayokeep records ni Kenya ports authority (KPA) na Tanzania ports authority (TPA).
 
Wewe umesema mko na shipments nyingi kutuliko, niletee hizo takwimu Kwanza ndo tujue uko serious. Manake pale ulipofika Tayari nishakuona uko na zile tabia za typical Tanzanian, maneno makubwa lakini ikija kwa ushahidi hauna lolote, alafu ukitolewa ushahidi utakana hadi babako kama ni mwanamme au la.
Hawa watu hata niliwacha kuwawekea evidence maana ukiwawekea wataikana. Wana ujinga sana.
 
Data kutoka wapi? Hizo data uchwara Sina kazi nazo. Where do you get kwamba Dar port handle 16m tonnes a year?

Hivi kwa kawaida tu unaweza kulinganisha trade and cargo volumes ya central corridor na Northern corridor?

Naomba statistics from biggest and reputable shipping companies zinazofanya route area hii. Watoe mchanganuo wapi Wana offload na ku load kwa Sana between this two ports. Usilete jaba stories hapa.
Hey young man, there is no need of statistics from ship companies since we have statistics from those who operate the ports. The first screenshot is Mombasa port statistics by Kenya Ports Authority (KPA) the second screenshot is from Tanzanian ministry of works, Transport and Cooperation. Total number of ships that served Mombasa port was 1,675 in 2019 while only 1,516 ships docked at Port of Dar es salaam. Mombasa port handled 34M tonnes in 2019 compared to 16M tonnes done by Dar es salaam Port in 2019. If you have balls you can still go head and argue with these facts.

2458126_Screenshot_151_LI.jpg



2458129_Screenshot_149_LI.jpg
 
Hey young man, there is no need of statistics from ship companies since we have statistics from those who operate the ports. The first screenshot is Mombasa port statistics by Kenya Ports Authority (KPA) the second screenshot is from Tanzanian ministry of works, Transport and Cooperation. Total number of ships that served Mombasa port was 1,675 in 2019 while only 1,516 ships docked at Port of Dar es salaam. Mombasa port handled 34M tonnes in 2019 compared to 16M tonnes done by Dar es salaam Port in 2019. If you have balls you can still go head and argue with these facts.

View attachment 1777395


View attachment 1777396
Hahaha. Good one. That guy is stupid enough to come back and argue. Ngojea uone. Atarudi kupingana. I have no time for such fools.
 
Hahaha. Good one. That guy is stupid enough to come back and argue. Ngojea uone. Atarudi kupingana. I have no time for such fools.
The problem with Tanzanians is that they are lazy to do simple research hence only left with option to believe what naysayers are saying. Most of them doesn't like statistics because the statistics doesn't massage their ego.
 
Hahaha mungiki wote mmetoka shimoni mmekuja juu kweli.. I hizo takwimu za KPA sina shida nazo.. Tunajua michezo ya takwimu..

Hizi shipping line zinajua ni wapi wanashusha mizigo kwa Sana na kupakia kwa Sana. Wanajua ni port gani iko busy in operations kuliko nyingine. Sasa nyie mungiki mnaoamini katika takwimu leteni source ya hizo takwimu kutoka katika vyanzo vingine tofauti na hizo za Sasa.

Hizo takwimu nimeonesha watu wa TPA hapa hata hazijui, na hajui zimetoka wapi na data zilikusanywa lini. Ila watu wa Maersk na Hapag wanadai meli zinazokuja ni nyingi zaidi.. Hata juzi suez ilivyoziba ni central corridor iliathirika zaidi na iko documented.

Naomba mlete source kutoka reputable maritame journals sio data uchwara hizo. Tena detailed data kuonesha Aina ya shipment zinazopita kwenye hizi corridor mbili na sehemu zinazohumu hizi route.

Kafrican Tony254 na bwana mapesa Teargass karibuni kwa matured dialog
 
Hahaha mungiki wote mmetoka shimoni mmekuja juu kweli.. I hizo takwimu za KPA sina shida nazo.. Tunajua michezo ya takwimu..

Hizi shipping line zinajua ni wapi wanashusha mizigo kwa Sana na kupakia kwa Sana. Wanajua ni port gani iko busy in operations kuliko nyingine. Sasa nyie mungiki mnaoamini katika takwimu leteni source ya hizo takwimu kutoka katika vyanzo vingine tofauti na hizo za Sasa.

Hizo takwimu nimeonesha watu wa TPA hapa hata hazijui, na hajui zimetoka wapi na data zilikusanywa lini. Ila watu wa Maersk na Hapag wanadai meli zinazokuja ni nyingi zaidi.. Hata juzi suez ilivyoziba ni central corridor iliathirika zaidi na iko documented.

Naomba mlete source kutoka reputable maritame journals sio data uchwara hizo. Tena detailed data kuonesha Aina ya shipment zinazopita kwenye hizi corridor mbili na sehemu zinazohumu hizi route.

Kafrican Tony254 na bwana mapesa Teargass karibuni kwa matured dialog
Sitapoteza muda wangu kuargue na wewe. Wakenya wengine pengine wana hio energy. Mimi sina.
 
Back
Top Bottom