BRAVO 2 ZERO
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,175
- 1,188
LAPF wanenipiga pesa yangu ya miezi miwili kila napowadai hawataki kunilipa fuatilia wee mpaka viatu imeisha kila siku jibu ni kesho, sasa yapata miezi nane hamna dalili ya kulipwa.
Watendaji wa LAPF mnashida gani kwani?
najua dua la kuku halimpati mwewe ila mkumbuke kuwa kila nabii na enzi zake nyie jamaa wa LAPF, leo mnahisi hayatawapata haya ila karma is a bitch jitahidini kutenda haki kwa kila mtu, acheni dhuluma kwenye jasho la mtu ipo siku yatawakuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watendaji wa LAPF mnashida gani kwani?
najua dua la kuku halimpati mwewe ila mkumbuke kuwa kila nabii na enzi zake nyie jamaa wa LAPF, leo mnahisi hayatawapata haya ila karma is a bitch jitahidini kutenda haki kwa kila mtu, acheni dhuluma kwenye jasho la mtu ipo siku yatawakuta.
Sent using Jamii Forums mobile app