LAPF wanaweza kuharakisha vifo vyetu
Uwiii, sasa wanachama wanaweza kuliwa hivihivi na hawa jamaa wa LAPF.
Yaani nimekutana na hili gazeti na kulisoma kwa umakini mkubwa, nimegundua kuwa LAPF wanaweza kutuua mapema, yaani pesa zetu wanazowekeza zinadorora, kwamba hazizalishi faida inayotarajiwa?
Kama ndiyo hivyo, nani sasa tumwamini atunze mafao yetu?
Hawa jamaa wamewekeza kwenye majengo ambayo sasa hayaleti pesa.
Jamani jamani, wakati wa kuamka ni sasa.
Uwiii, sasa wanachama wanaweza kuliwa hivihivi na hawa jamaa wa LAPF.
Yaani nimekutana na hili gazeti na kulisoma kwa umakini mkubwa, nimegundua kuwa LAPF wanaweza kutuua mapema, yaani pesa zetu wanazowekeza zinadorora, kwamba hazizalishi faida inayotarajiwa?
Kama ndiyo hivyo, nani sasa tumwamini atunze mafao yetu?
Hawa jamaa wamewekeza kwenye majengo ambayo sasa hayaleti pesa.
Jamani jamani, wakati wa kuamka ni sasa.