Nahitaji gari tajwa hapo juu haraka jamani naomba mnisaidie iwe MPYA au HALI NZURI.najua mtauliza kwann nisiagize mwenyewe ila sitoweza kusubiria gari kwa miezi mitatu.please can't wait any longer...
Nahitaji gari tajwa hapo juu haraka jamani naomba mnisaidie iwe MPYA au HALI NZURI.najua mtauliza kwann nisiagize mwenyewe ila sitoweza kusubiria gari kwa miezi mitatu.please can't wait any longer...
Una helaaaaaaaaa!!!!???????
Haya leta 50milion gari hii hapa boss kuepuka huo usumbufu wa miezi mitatu na ushuru na dola zimepanda au njoo pm tufanye biashara hapa hadharani hapafai
Wajuaji na wenye njaa ni wengi boss
Una helaaaaaaaaa!!!!???????
Haya leta 50milion gari hii hapa boss kuepuka huo usumbufu wa miezi mitatu na ushuru na dola zimepanda au njoo pm tufanye biashara hapa hadharani hapafai
Wajuaji na wenye njaa ni wengi boss