Landrover discovery 3

medicated

Member
Joined
Nov 25, 2014
Posts
35
Reaction score
2
Nahitaji gari tajwa hapo juu haraka jamani naomba mnisaidie iwe MPYA au HALI NZURI.najua mtauliza kwann nisiagize mwenyewe ila sitoweza kusubiria gari kwa miezi mitatu.please can't wait any longer...
 
Nahitaji gari tajwa hapo juu haraka jamani naomba mnisaidie iwe MPYA au HALI NZURI.najua mtauliza kwann nisiagize mwenyewe ila sitoweza kusubiria gari kwa miezi mitatu.please can't wait any longer...

Una helaaaaaaaaa!!!!???????
Haya leta 50milion gari hii hapa boss kuepuka huo usumbufu wa miezi mitatu na ushuru na dola zimepanda au njoo pm tufanye biashara hapa hadharani hapafai
Wajuaji na wenye njaa ni wengi boss
 

Attachments

  • 1435166927296.jpg
    63.3 KB · Views: 303
  • 1435166969536.jpg
    91.8 KB · Views: 269
  • 1435167007032.jpg
    46.1 KB · Views: 258
Una helaaaaaaaaa!!!!???????
Haya leta 50milion gari hii hapa boss kuepuka huo usumbufu wa miezi mitatu na ushuru na dola zimepanda au njoo pm tufanye biashara hapa hadharani hapafai
Wajuaji na wenye njaa ni wengi boss
Nashkuru kzba.ila umeuliza kama nna hela kwan nilisema nataka kununua au nataka kukopa???
 
Nashkuru kzba.ila umeuliza kama nna hela kwan nilisema nataka kununua au nataka kukopa???

Come down bab was just mbwembwe and jokes come pm 2 make biashara kama uko serious.
 
Nauza Kiwanja Kivule njiapanda ya shule ukubwa 50/25 ml7 nichek 0779545500
 
Hiyo hapo ingia pm au nicheki 0714787795
 

Attachments

  • 1435228802148.jpg
    74.1 KB · Views: 113
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…