Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,147
- 4,206
October 2025 kama hawatotumia akili ya kwenda na msimamizi mkuu wa serikali aisee Kuna mmoja wa upinzani akiwa SMART anachukua ila huyo wa upinzani atatokea humohumo kwenye chama chao na atafata nyayo za JPM