landmark kunduchi

Short listed ndo hupigiwa simu kwa ajili ya interview. Kwani tangazo la kazi waliwaambia wote mtapigiwa simu?
 
Short listed ndo hupigiwa simu kwa ajili ya interview. Kwani tangazo la kazi waliwaambia wote mtapigiwa simu?

hapana unajua yule babu aliekuwa akipokea barua alisema interview tarehe 20 muwahi
 
Huja be civilised? Umeshaitw wewe jamaa?

mimi nimepeleka barua pale nikaambiwa tareh 20 nisikose saa mbili sasa nikienda alafu waseme mpaka tukupigie siwaelewi coz hawajaniambia hivyo mimi nilimuuliza yule babu namba ya simu siandik akasema haina haja we njoo tu
 
mimi nimepeleka barua pale nikaambiwa tareh 20 nisikose saa mbili sasa nikienda alafu waseme mpaka tukupigie siwaelewi coz hawajaniambia hivyo mimi nilimuuliza yule babu namba ya simu siandik akasema haina haja we njoo tu

Hujaacha namba? Chakaaa ume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom