Land grabbing & injustices (Tanzania)

Land grabbing & injustices (Tanzania)

Koba

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
6,130
Reaction score
1,355
Watch this,ni documentary ya Dan rather reports katika HDnet,anazungumzia injustices and land grabbing in Tanzania for the name of wawekezaji,this is just one excerpts na ni ducumentary ya more than one hr,so go search for the rest to educate & inform urself hizi land issues,worse ni pale mafisadi wanavyosaidiana bila uwoga na hawa watu kuuza land for 25cents per acre huku waki level vijiji vya watu walivyokaa for more than 50 yrs kwa kuwalipa 200$ na kuwaambia wabomoe nyumba zao,so sad ukiangalia Pinda,masha na iddi Simba wanavyoongea kwa dharau kuhusu hawa wanavijiji...watch!!! Dan Rather Reports, "Trouble on the Land" Excerpt 2 - YouTube
 
Ndio @ Koba, Nawaonea hawa wa Burundi huruma maana wote ni wazaliwa wa Tanzania na wamefanya shughuli zao humo. Lakini serikali ina taka kuwafurusha mpaka kwao kwa misingi ya Security. This is worse than Land grabbing. Inaonekana ardhi sio ya mwenyezi mungu tanzania, bali ni ya makaburu wenye wanamiliki sehemu za uchimbaji migodi.
 
Back
Top Bottom