Wa nyamadyaki
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,178
- 529
Waungwana habari zenu,
Mwenye kuifahamu gari aina ya land cruiser vx hasa ulaji wa mafuta na matengenezo. Maana yupo ndugu yangu ughaibuni anataka kunitumia hapa nyumbani tanzania, kama ni yagharama sana uwendeshaji wake basi nimwambie aghairishe maana uwezo wangu ni wa mchumia tumbo.
Mwenye kuifahamu gari aina ya land cruiser vx hasa ulaji wa mafuta na matengenezo. Maana yupo ndugu yangu ughaibuni anataka kunitumia hapa nyumbani tanzania, kama ni yagharama sana uwendeshaji wake basi nimwambie aghairishe maana uwezo wangu ni wa mchumia tumbo.