Land Cruiser

Land Cruiser

Ata hivyo nishaanza kupata mwanga ni bora nikabaki na starlet yangu ya sasa.
 
Karibu kwa mimi mtaalamu akikwambia ni yamwaka gani nitakwambia ni series fulani na akwambie ni ni diesel tutajua ni aina gani ya ingine akwwambie pia je ni standard,gx,vx tutakwambia ni ingine ggani inakaa katika level hizo akwambie ni diesel,petrol tutakwambia ni ingine gani kwa details hizo utajua gari yako niipi na inakula mafuta kiasi gani kw alita!
 
Karibu kwa mimi mtaalamu akikwambia ni yamwaka gani nitakwambia ni series fulani na akwambie ni ni diesel tutajua ni aina gani ya ingine akwwambie pia je ni standard,gx,vx tutakwambia ni ingine ggani inakaa katika level hizo akwambie ni diesel,petrol tutakwambia ni ingine gani kwa details hizo utajua gari yako niipi na inakula mafuta kiasi gani kw alita!

Sawa mkuu.
 
Kwa kifupi hayo ni magoma ya kiboss so tegemea ulaji mkubwa tu wa mafuta na spea za bei kubwa kubwa !!
 
Kama unafanya kazi TRA utaiweza tu mkuu. Mwambie akutumie.
 
Kama unafanya kazi TRA utaiweza tu mkuu. Mwambie akutumie.
Kufanya tu kazi TRA hakumaanishi uko safi, kuna walala hoi kama sehemu nyingine yoyote. Kinachomata position yako.
 
ulikua na mpango wa kwenda kazini kwa mhindi na v8 cygnis ya petrol. full tank zote lakhi tatu na themanini. wahi Mirembe kabla hujavua nguo

Aaah! Bro ndo maana nimekuja omba ushauri kabla cjatumiwa.
 
Uliposema ww ni mchumia tumbo BASI HIYO GARI HAUIWEI HATA KIDOGO.!GARI ZA MAFISADI, KINA NKONO, MBOWE, EL,ZZK,MASOGANGE,PAPAA MUSOFE, NDAMA MUTOTO YA NG'OMBE RIZ 1,NA WENGINE WA HAINA HIYO.
VITZ, STARLET, SPACIO,IST UKIJITAHIDI SN HARRIER." zawadi ni zawadi usichague"
 
Kwa kifupi hayo ni magoma ya kiboss so tegemea ulaji mkubwa tu wa mafuta na spea za bei kubwa kubwa !!
Sikweli kuna gari 5L Land cruiser inaenda km 9-10 diesel kwa lita sasa hapo sisa na gx 100?un hz engine RZJ 2.7 cc hazili mafuta kama watu wanavyodhani!
 
Uliposema ww ni mchumia tumbo BASI HIYO GARI HAUIWEI HATA KIDOGO.!GARI ZA MAFISADI, KINA NKONO, MBOWE, EL,ZZK,MASOGANGE,PAPAA MUSOFE, NDAMA MUTOTO YA NG'OMBE RIZ 1,NA WENGINE WA HAINA HIYO.
VITZ, STARLET, SPACIO,IST UKIJITAHIDI SN HARRIER." zawadi ni zawadi usichague"

Starlet ndo naitumia kwa sasa sina uzoefu na magari. Ndo maana nikaja kuomba ushauri pande hii
 
Waungwana habari zenu,
Mwenye kuifahamu gari aina ya land cruiser vx hasa ulaji wa mafuta na matengenezo. Maana yupo ndugu yangu ughaibuni anataka kunitumia hapa nyumbani tanzania, kama ni yagharama sana uwendeshaji wake basi nimwambie aghairishe maana uwezo wangu ni wa mchumia tumbo.

Kama trip zako ni posta kkoo hiyo gari haikufai, ila kama ishu zako ni long safari hapo sawa hii kitu ya diesel inakula 1/8 yaani lita moja kilomita nane ukiwa una endesha speed 80-120 zaidi ya hapo au pungufu ya hapo inakula zaidi spare kidogo bei juu ila ukifunga umefunga kama volkswagen vile kwa hiyo zingatia kama wewe ni mtu wa long safari sanasana off road vinginevyo don't even think about it....
 
Kama ulivyojieleza kuwa weww ni mchumia tumbo, basi huwezi kumudu gharama za kutumia vx.

Ushauri, mwambie ndugu yako akutumie hiyo vx kisha uiuze, ununue gari linalolingana na uwezo wako. Kiasi kitakachobaki kitakusaidia kwenye mambo mengine

Vinginevyo vx itakufilisi na kuishia kulipaki uwani
 
service ya kawaida sana yaani kubadilisha cleaners zote oil na kucheki betri mafuta ya breki. etc ni milioni mbili unusu kila km elfu tano. toyota tz wakikuta kuna kitu kibovu wanabadilisha na genuine bila kutoa taarifa. na hutakiwi ulifuate mwenyewe lazima utume dereva alipeleke na kulichukua. wewe kazi yako ni kusaini checki baada ya kuletewa invoice. nilipeleka kibenzi changu d.t.dobie sitakaa nisahau
 
service ya kawaida sana yaani kubadilisha cleaners zote oil na kucheki betri mafuta ya breki. etc ni milioni mbili unusu kila km elfu tano. toyota tz wakikuta kuna kitu kibovu wanabadilisha na genuine bila kutoa taarifa. na hutakiwi ulifuate mwenyewe lazima utume dereva alipeleke na kulichukua. wewe kazi yako ni kusaini checki baada ya kuletewa invoice. nilipeleka kibenzi changu d.t.dobie sitakaa nisahau

Duh! 😱
 
Back
Top Bottom