hiltonh247
Senior Member
- Mar 11, 2015
- 154
- 28
Katika pita pita zangu Tanzania especially mkoa wa Arusha, nimekua nikiangalia magari yanayotumika zaidi kwenda porini(mbuga za Wanyama). Na nimepata bahati ya kutembelea mbuga kama Manyara Tarangire Katavi na Serengeti.
Nikaona magari mengi ni LAND CRUISER Japokua na LAND ROVER pia zipo nyingi kiasi.
Na cruiser zinazotumika zaidi ni hard body zenye 1hz engine..hata makampuni mengi ya tours Wana idadi kubwa ya land cruiser kuliko land rover.!
WHAT'S SO SPECIAL ABOUT LAND CRUISER HARD BODY???
Nikaona magari mengi ni LAND CRUISER Japokua na LAND ROVER pia zipo nyingi kiasi.
Na cruiser zinazotumika zaidi ni hard body zenye 1hz engine..hata makampuni mengi ya tours Wana idadi kubwa ya land cruiser kuliko land rover.!
WHAT'S SO SPECIAL ABOUT LAND CRUISER HARD BODY???