Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,324
- 13,634
Heshima kwenu Wakuu! Hapa kati nimejichanga kama $ 13000 hivi nikaona sio mbaya nitafute SUV kwa ajili ya Safari za Porini hasa siku nimeamua kutembelea mbuga za wanyama.
Katika Pita pita zangu mitandaoni nikaona hizi gari Land Rover Discovery 2. Kuanzia mwaka 1999 mpaka 2004 kama sikosei nyingi zinatumia engine ya TD5.
Kwa wenye experience ya hizi gari naomba tushare mawili matatu kuhusu fuel consumption, Uimara wa gari hasa off-road na pia kuhusu upatikanaji wa spare parts na matengenezo yake kwa ujumla.
Karibuni Wadau wa haya magari.
Katika Pita pita zangu mitandaoni nikaona hizi gari Land Rover Discovery 2. Kuanzia mwaka 1999 mpaka 2004 kama sikosei nyingi zinatumia engine ya TD5.
Kwa wenye experience ya hizi gari naomba tushare mawili matatu kuhusu fuel consumption, Uimara wa gari hasa off-road na pia kuhusu upatikanaji wa spare parts na matengenezo yake kwa ujumla.
Karibuni Wadau wa haya magari.