Lamine Yamal for Ballon D'or. Nani anapinga?

Lamine Yamal for Ballon D'or. Nani anapinga?

1. Kwa nini mtu asiyeona (kipofu) ana uwezo mkubwa wa kukariri sauti za watu?

Mtu kipofu anapokosa kuona, ubongo wake hujifunza kutumia zaidi hisia zaidi kwa mf, kusikia na kugusa. Hii inaitwa neuroplasticity, yaani uwezo wa ubongo kubadilika na kujifunza kulingana na mazingira au hali ya mtu.

Kwa kuwa hawaoni, vichwa vyao havitishiwi na taarifa nyingi za kuona, hivyo huelekeza umakini wao mkubwa kwenye sauti. Hii inawasaidia:

Kukumbuka sauti kwa urahisi, kwa kuwa hutegemea sana kusikia ili kupata taarifa kuhusu mazingira yao.

Kujifunza kwa kusikia, kwa hiyo wanakuwa na mazoea ya kusikiliza kwa makini na kukariri wanachosikia.

Kuwatambua watu kwa sauti zao, kwani hawawezi kuwaona kwa macho.

2. Kwa nini mtu asiyeweza kusikia (kiziwi) anaelewa na kutumia lugha ya ishara kwa urahisi kuliko watu wanaosikia?

Mtu kiziwi hawezi kutumia sauti kuwasiliana, hivyo lugha ya ishara huwa njia kuu ya mawasiliano. Kadri anavyotumia lugha ya ishara kila siku, ndivyo anavyoizoea na kuimudu zaidi. Sababu kuu ni:

Ni njia yao ya msingi ya kuwasiliana, hivyo wanaielewa kwa kina.

Wanapata mafunzo ya mapema, hasa kama wamezaliwa wakiwa viziwi — hukua katika mazingira ya lugha ya ishara.

Ubongo wao hutumia maeneo ya kusikia kuchakata ishara, hali inayoongeza ufanisi wa kuelewa ishara (neuroplasticity tena ina kazi hapa).

Mazoezi ya kila siku huwafanya wawe mahiri zaidi katika kufasiri na kutoa ishara kuliko watu wasiosikia ambao hawajazoea.
Maelezo haya yandhirisha kuwa hakuna mtu anayezaliwa akiwa na uwezo fulani hivyo hakuna kipaji.
 
Maelezo haya yandhirisha kuwa hakuna mtu anayezaliwa akiwa na uwezo fulani hivyo hakuna kipaji.
😂😂 kaka ajabu sana unashindwa kutofautisha nature na nurture!!

Mfano wako wa kiziwi ni more about nurturing..
Sio kipaji ambacho ni nature! Umiza kichwa mkuu
 
😂😂 kaka ajabu sana unashindwa kutofautisha nature na nurture!!

Mfano wako wa kiziwi ni more about nurturing..
Sio kipaji ambacho ni nature! Umiza kichwa mkuu
Kitu ambacho ni natural ni instinct peke yake. Yote yaliyobaki nurture.

Umeshawahi kukutana na mtu aliyekuzwa na wanyama?
 
Maelezo haya yandhirisha kuwa hakuna mtu anayezaliwa akiwa na uwezo fulani hivyo hakuna kipaji.
Big no! Yaan Hapana kubwa, mfano wa kiziwina kipofu hauthibitishi kwamba hakuna kipaji, hapo umebakanisha mambo!!

Unasiganisha mambo kati ya kipaji cha asili (nature) na mazingira au mafunzo (nurture) katika kukuza uwezo wa mtu.

Uwezo wa binadamu unaweza kuendelezwa kwa kiasi kikubwa kupitia mazingira, mazoezi, na mahitaji lakini kipaji kina nafasi ya juu kabsa..

Ubongo wa binadamu una uwezo mkubwa wa kubadilika kulingana na hali, kwa hiyo mtu anaweza kufikia kiwango cha ustadi hata bila “kipaji cha kuzaliwa,” endapo tu ataweka juhudi sahihi, lakini mwenye kipaji atafikia kiwango cha ustadi cha juu zaidi akiweka hizohizo juhudi zilizotumiwa na asiye na kipaji✍️✍️


Kipaji bado kina nafasi yake. Kuna watu wanaozaliwa wakiwa na:

Uwezo wa kipekee wa kumbukumbu

Hisia kali zaidi (kama kusikia kwa undani au kuona kwa haraka)

Uwezo wa kujifunza haraka zaidi kuliko wengine
Yote hiyo ni ishara kwamba baadhi ya watu wana vipaji vya asili.

Maelezo yako ya awali hayakanushi uwepo wa vipaji, bali yanaonyesha kuwa mazoezi, mazingira, na hali ya maisha vinaweza kukuza uwezo mkubwa hata kwa watu ambao hawakuonyesha kipaji mwanzoni.

Vipaji vya kuzaliwa vipo, lakini haviwezi kustawi bila juhudi, motisha, au mazingira sahihi.

Kwahiyo ni kipaji kwanza ndo kinachoshawishi scouts wakijua lazma wataenda kuluendeleza kwa mazoezi
Na kukufundisha kuwa na juhudi
 
Kitu ambacho ni natural ni instinct peke yake. Yote yaliyobaki nurture.

Umeshawahi kukutana na mtu aliyekuzwa na wanyama?
Yaaan kwenye suala la mpira unataka kuleta story za genie, kamala na amala wa 1920s huko!! Hahahahhahahahahah basi tuandalie neymar wako brother utuletee hapa
 
Big no! Yaan Hapana kubwa, mfano wa kiziwina kipofu hauthibitishi kwamba hakuna kipaji, hapo umebakanisha mambo!!

Unasiganisha mambo kati ya kipaji cha asili (nature) na mazingira au mafunzo (nurture) katika kukuza uwezo wa mtu.

Uwezo wa binadamu unaweza kuendelezwa kwa kiasi kikubwa kupitia mazingira, mazoezi, na mahitaji lakini kipaji kina nafasi ya juu kabsa..

Ubongo wa binadamu una uwezo mkubwa wa kubadilika kulingana na hali, kwa hiyo mtu anaweza kufikia kiwango cha ustadi hata bila “kipaji cha kuzaliwa,” endapo tu ataweka juhudi sahihi, lakini mwenye kipaji atafikia kiwango cha ustadi cha juu zaidi akiweka hizohizo juhudi zilizotumiwa na asiye na kipaji✍️✍️


Kipaji bado kina nafasi yake. Kuna watu wanaozaliwa wakiwa na:

Uwezo wa kipekee wa kumbukumbu

Hisia kali zaidi (kama kusikia kwa undani au kuona kwa haraka)

Uwezo wa kujifunza haraka zaidi kuliko wengine
Yote hiyo ni ishara kwamba baadhi ya watu wana vipaji vya asili.

Maelezo yako ya awali hayakanushi uwepo wa vipaji, bali yanaonyesha kuwa mazoezi, mazingira, na hali ya maisha vinaweza kukuza uwezo mkubwa hata kwa watu ambao hawakuonyesha kipaji mwanzoni.

Vipaji vya kuzaliwa vipo, lakini haviwezi kustawi bila juhudi, motisha, au mazingira sahihi.

Kwahiyo ni kipaji kwanza ndo kinachoshawishi scouts wakijua lazma wataenda kuluendeleza kwa mazoezi
Na kukufundisha kuwa na juhudi
Mkuu unamfahamu panya magawa?
 
Yaaan kwenye suala la mpira unataka kuleta story za genie, kamala na amala wa 1920s huko!! Hahahahhahahahahah basi tuandalie neymar wako brother utuletee hapa
Mtoto akiwa mdogo sana akaonesha willingness juu ya jambo fulani then akaanza kupractice then anakuwa na uwezo wa hali ya juu.

Kitu chochote kinaanzia akilini.
 
Dogo hata goli 10 za ligi ameshindwa kufika halafu munahashukwa kama hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom