Lamine Yamal for Ballon D'or. Nani anapinga?

Lamine Yamal for Ballon D'or. Nani anapinga?

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,923
Reaction score
11,305
Hilo mnalionaje wakuu kijana ana kipaji sana Cha mpira kiwange chake ukimtazama vizuri bila wasiwasi ni robo ya uwezo wa Messi +nusu Ronaldinho gaucho+nusu Neymar Jr.

He deserves hachoshi kumtazama kila mda utatamani awe na mpira yeye tu kwa anachokifanya.
20250516_000957.jpg
 
Siku zote mwaka usiokuwa na event ya world cup, basi UCL ndio huwa inambeba mshindi wa Ballon

PSG akibeba namuona Dembele akibeba Ballon

Maybe abebe Inter Lautaro Martinez majeraha yamemfanya hasicheze mechi nyingi
 
Kijana anajua hatari sio sie huku wachezaji wetu baadala ya kuwafundisha boli tunawambia waende kwa mganga wakaroge🤣🤣🤣🤣🤣
Tanzania Bado ni nchi ya kipumbavu sana
 
Siku zote mwaka usiokuwa na event ya world cup, basi UCL ndio huwa inambeba mshindi wa Ballon

PSG akibeba namuona Dembele akibeba Ballon

Maybe abebe Inter Lautaro Martinez majeraha yamemfanya hasicheze mechi nyingi
Vitu hubadirika mkuu
 
Bora uliyesema nusu, kuliko kumlinganisha na neymar😭😭😭 acheni matusi ya mpira wazee..

Ukiniambia nusu naweza kukuelewa hata km kutakuwa na nyama hazijajaa vizuri!

neymar aliyetimia, alikuwa very clinical in front of the goal!
Neymar uwezo wake wa kufanya take ons, was beyond levels kitu ambacho hata yamal anakionesha pia!!
Lakini ni kwamba bado yamal anaendelea kudevelop! Hajafika level ya kufanana na neymar, though ni wazi potential ya kumfikia neymar inaonekana na anaweza kuwa mkali zaid ya neymar!
Yamal bado ana vitu vya kuimprove
Haswa eneo la ufungaji..
Anatakiwa aongeze maarifa ya kufanya cut inside nyingi tofauti na alivyo sasa.
Yamal anapenda sana kucheza pembeni (typical natural winger antics) kitu ambacho kinamfanya awe mbali sana na goli,
aisee huyu dogo akiweza tu kuimprove ilo eneo ataweka kambani chuma nyingi sana kwa msimu kwasabab ule uwezo wake wa curl in the ball aweee🔥🔥🔥
Huyu dogo akiweza kucheza karibu na goli chuma zitakuwa nyingi kama mchanga! Ana carve za hatari sana,,

Hajafikia kufanana na neymar, neno sahihi zaidi kulitumia nadhani ni nusu ya neymar kwa sasa!!
Neymar alikuwa mtendaji mkamilifu zaidi, yamal bado anaongezeka siku hadi siku!!

futbol fact: yamal ana mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kwenye club na NT kuliko mchezaji yyt duniani katka umri wake!

Huyu dogo hafai kabisa.
 
Hawawezi kumpa mchezaji ambae yupo nje ya mfumo wao wa Bingwa wa uefa wangechukua angebeba hii anaenda kuokota Dembele au Lautaro namba 10 alietimia..
 
Bora uliyesema nusu, kuliko kumlinganisha na neymar😭😭😭 acheni matusi ya mpira wazee..

Ukiniambia nusu naweza kukuelewa hata km kutakuwa na nyama hazijajaa vizuri!

neymar aliyetimia, alikuwa very clinical in front of the goal!
Neymar uwezo wake wa kufanya take ons, was beyond levels kitu ambacho hata yamal anakionesha pia!!
Lakini ni kwamba bado yamal anaendelea kudevelop! Hajafika level ya kufanana na neymar, though ni wazi potential ya kumfikia neymar inaonekana na anaweza kuwa mkali zaid ya neymar!
Yamal bado ana vitu vya kuimprove
Haswa eneo la ufungaji..
Anatakiwa aongeze maarifa ya kufanya cut inside nyingi tofauti na alivyo sasa.
Yamal anapenda sana kucheza pembeni (typical natural winger antics) kitu ambacho kinamfanya awe mbali sana na goli,
aisee huyu dogo akiweza tu kuimprove ilo eneo ataweka kambani chuma nyingi sana kwa msimu kwasabab ule uwezo wake wa curl in the ball aweee🔥🔥🔥
Huyu dogo akiweza kucheza karibu na goli chuma zitakuwa nyingi kama mchanga! Ana carve za hatari sana,,

Hajafikia kufanana na neymar, neno sahihi zaidi kulitumia nadhani ni nusu ya neymar kwa sasa!!
Neymar alikuwa mtendaji mkamilifu zaidi, yamal bado anaongezeka siku hadi siku!!

futbol fact: yamal ana mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kwenye club na NT kuliko mchezaji yyt duniani katka umri wake!
Ila yule bwana mdogo namwogopa kuliko Neymar sijui kwa nini.
 
Kipaji cha mpira hakifundishwi, ni kama kula mbususu tuu. Unazaliwa umri ukifika inasimama tuu.
Mhm jidanganye ata kula mbususu inabidinufanye mazoezi ya kutosha bro🤣🤣🤣
Hao wakina yamal tunachoona ninfinished article lakini nyuma yake kuna hours and hours of training alone with the ball.....
Huku bongo mtu anataka kuwa mchezani mpira lakini hana mpira wake mwenyewe ila simu mpapaso anayo
 
Mhm jidanganye ata kula mbususu inabidinufanye mazoezi ya kutosha bro🤣🤣🤣
Hao wakina yamal tunachoona ninfinished article lakini nyuma yake kuna hours and hours of training alone with the ball.....
Huku bongo mtu anataka kuwa mchezani mpira lakini hana mpira wake mwenyewe ila simu mpapaso anayo
Nilishasema hakuna kipaji duniani hamtaki kusikia.

Haya!
 
Bora uliyesema nusu, kuliko kumlinganisha na neymar😭😭😭 acheni matusi ya mpira wazee..

Ukiniambia nusu naweza kukuelewa hata km kutakuwa na nyama hazijajaa vizuri!

neymar aliyetimia, alikuwa very clinical in front of the goal!
Neymar uwezo wake wa kufanya take ons, was beyond levels kitu ambacho hata yamal anakionesha pia!!
Lakini ni kwamba bado yamal anaendelea kudevelop! Hajafika level ya kufanana na neymar, though ni wazi potential ya kumfikia neymar inaonekana na anaweza kuwa mkali zaid ya neymar!
Yamal bado ana vitu vya kuimprove
Haswa eneo la ufungaji..
Anatakiwa aongeze maarifa ya kufanya cut inside nyingi tofauti na alivyo sasa.
Yamal anapenda sana kucheza pembeni (typical natural winger antics) kitu ambacho kinamfanya awe mbali sana na goli,
aisee huyu dogo akiweza tu kuimprove ilo eneo ataweka kambani chuma nyingi sana kwa msimu kwasabab ule uwezo wake wa curl in the ball aweee🔥🔥🔥
Huyu dogo akiweza kucheza karibu na goli chuma zitakuwa nyingi kama mchanga! Ana carve za hatari sana,,

Hajafikia kufanana na neymar, neno sahihi zaidi kulitumia nadhani ni nusu ya neymar kwa sasa!!
Neymar alikuwa mtendaji mkamilifu zaidi, yamal bado anaongezeka siku hadi siku!!

futbol fact: yamal ana mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kwenye club na NT kuliko mchezaji yyt duniani katka umri wake!
He is 17 years old only
 
Hawawezi kumpa mchezaji ambae yupo nje ya mfumo wao wa Bingwa wa uefa wangechukua angebeba hii anaenda kuokota Dembele au Lautaro namba 10 alietimia..
Lautaro majeruhi na akuna aluchocheza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom