Nimesikia zitakuwa na shepu kama hii au hiyo inayofuatia;..kuna mavazi, rangi, magari, saa, condom n.k vya kike na sasa nadhani hizo ni ice cream za kike(bila kuwasahau wale kina chei chei)! ila sipati picha ice cream za kiume zitakuwaje!!
Madame utaweza kuilamba hiyo kati kati ya Samora Avenue?Lambalamba nyingine mtihani
AZAM akitengeneza kitu kama hiki atateka soko la afrika mashariki
Mkuu.Mbuzi Mzee hawa watakuwa ni watoto wa Kituruki kwa kupenda hii kitu hatari sana wameoza kunyonya hii kitu ...................................