Lala salama mpendwa Magufuli, Mungu anaipenda sana Tanganyika

Magufuli hakuwa dikteta, na binafsi nadhani Tanzania imekosa kiongozi mzuri sana. Alikuwa na madhaifu machache, lakini alikuwa kiongozi mzuri na tabiti sana wa nchi. Dhaifu lake la kwanza ni alikuwa hapendi kukosolewa, na nadhani hilo ndilo lilikuwa dhaifu kubwa sana kwake ambalo lilizaa tatizo la kutaka kusifiwa tu. Dhaifu la pili lilikuwa ni lile la kupendelea sana kwao kupita kiasi mpaka kufanya jambo hilo liwe ni kwenye headlines, halafu tatizo la tatu ni kuwa hakuwa anajua kuchagua maneno mazuri ya kutumia katika kupinga jambo. Magufuli hakujua kupinga jambo diplomatically, hivyo alikuwa akisound kuwa kila jamboasilopenda yeye ilikuwa ni ugomvi kwake. Nyerere alijua sana kumwambia mtu kistaarabu kwa lugha ya kirafiki ambayo mtu aliyeambiwa hatarudia; Magufuli alikuwa anamtishia mtu aogope na asirudie kumwuliza.

Sasa tatizo la kutaka kusifiwa tu lilimfanya atoe uamuzi mmoja mbaya sana kuhusu korona kwa kuangalia matokeo ya uchumi zaidi, hasa ile miradi aliyokuwa ameanzisha. Hata kama uamuzi wake ulikuwa siyo mbaya, aliutoa kwa kutumia lugha iliyomfanya awe ni laughing stock duniani ingawa alikuwa na nia njema. Angechagua maneno mazuri ya kutumia, asingejulikana hivyo. Kwa mfano angesema kutu kuwa hili gonjwa lipo; wamamcho tupambane nalo kwa kadha kadha lakini tusijifugiea nadi, angeelewa kuliko kuitangazaia dunia kuwa Tanzania hatuna gonjwa hilo, na hiyo ndiyo alama ya muda mrefu aliyoacha kwenye legacy yake.

Friction zake na wanasiasa wenzake naziona jambo la kawaida kabisa kwani siasa ni kusihindana na kukabana; kila mmwanasiasa hutaka kufunga goli.
Hakukosea Tanzania hamna Corona, kuna changamoto za upumuaji alizopata Philip na kujitokeza live kwenye vyombo vya habari kukana kifo na uzushi wa Corona.Zidumu fikra za Magufuli.
 
Hakukosea Tanzania hamna Corona, kuna changamoto za upumuaji alizopata Philip na kujitokeza live kwenye vyombo vya habari kukana kifo na uzushi wa Corona.Zidumu fikra za Magufuli.
Tanzania kuna Korona mzee, mwaka jana haikusambaa sana hasa kwa vile tuko kwenye mazingira ya joto, lakini mwaka huu imesambaa kwa kiasi kikubwa. Ingawa bado imejibana mijini zaidi ya vijijini, lakini bado ipo!
 
Haya maono yako yangekuwa ya kweli basi Rais Bashar wa Syria angekuwa tayari ametangulia mbele za haki

Kumbuka Duniani hakuna mtakatifu ila tunaishi kwa NEEMA tu.

Chunga sana maono yako usimfanye mola wetu kuonekana mwenye makosa

Kifo kilikuwepo kabla hata John hajazaliwa, hivyo natamatisha kwa kusema
Kifo Hakina Kanuni
 
Tanzania kuna Korona mzee, mwaka jana haikusambaa sana hasa kwa vile tuko kwenye mazingira ya joto, lakini mwaka huu imesambaa kwa kiasi kikubwa. Ingawa bado imejibana mijini zaidi ya vijijini, lakini bado ipo!
Imesambaa miji gani?Wakati Kwenye madaladala tulijichanganya uwanja wa uhuru hadi Dodoma mpaka Chato na Makomandoo Zanzibar waliozunguka jeneza kwa msongamano bila balakoa na wamepimwa mpaka sasa hivi hakuna mwenye dalili za Corona.
 
Haya maono yako yangekuwa ya kweli basi Rais Bashar wa Syria angekuwa tayari ametangulia mbele za haki

Kumbuka Duniani hakuna mtakatifu ila tunaishi kwa NEEMA tu.

Chunga sana maono yako usimfanye mola wetu kuonekana mwenye makosa

Kifo kilikuwepo kabla hata John hajazaliwa, hivyo natamatisha kwa kusema
Kifo Hakina Kanuni
Lakini pia viongozi waache kutawala kwa kudhania wao ni wamiliki wa hii nchi.
Huku wakifanya kila wanalotaka;
Kuua,
Kuteka,
Kuweka watu jela bila makosa,
Kuiba mali za umma,
Kujiita viongozi wa wanyonge huku wakiwaonea hao wanyonge.



Tunaomba Mungu asitokee kiongozi mkuu kama yule tena.
 
Haya maono yako yangekuwa ya kweli basi Rais Bashar wa Syria angekuwa tayari ametangulia mbele za haki

Kumbuka Duniani hakuna mtakatifu ila tunaishi kwa NEEMA tu.

Chunga sana maono yako usimfanye mola wetu kuonekana mwenye makosa

Kifo kilikuwepo kabla hata John hajazaliwa, hivyo natamatisha kwa kusema
Kifo Hakina Kanuni
Mungu ataipenda sana Tanzania... Maneno yake yanasema.... ' Na tazama watakutwa watu wawili kondeni, mmoja atatwaliwa na mmoja ataachwa..'
 
Lakini pia viongozi waache kutawala kwa kudhania wao ni wamiliki wa hii nchi.
Huku wakifanya kila wanalotaka;
Kuua,
Kuteka,
Kuweka watu jela bila makosa,
Kuiba mali za umma,
Kujiita viongozi wa wanyonge huku wakiwaonea hao wanyonge.



Tunaomba Mungu asitokee kiongozi mkuu kama yule tena.
Halafu wanatokea viongozi wa dini feki wanasema huyu ni chaguo la Mungu tiini mamlaka unatii vipi mamlaka ya shetani.Mamlaka ya Mungu utambuliwa kwa matendo yake, Hakuna chaguo la Mungu limwagalo damu na machozi ya watu.
 
Seems like huna amani to yourself..
Too much negative energy..

Utaingia mbingu nyingine ambako siko alipo JPM... Magu atakuwa na Yesu na malaika...
JPM kuingia Paradise labda atoe RUSHWA !!

Na kama nikienda Paradise nikamkuta naye yupo, nitaomba wanitoe tu huko maana hiyo ndiyo JEHANAM
 
Ila Mkuu nakuheshimu sana mimi mdogo.
Ila naomba upokee maoni yangu kwako ikikupendeza nayo ni
Kuna Mda unaegemea zaidi katika mapenzi ya jambo flani na kusahau uhalisia. Jitahidi kubalance Kaka. Kazi ya Mungu haina Makosa yeye hapangiwi wala si mwingi wa ghazabu Kama sisi Binadamu tulivyo.
Mimi na wewe baada ya sekunde hatuwezi jua tutakua wapi? Si vyema kuhukum na kuona tu wakamilifu zaidi ya wengine.
Vyema kua na kiasi na kushukuru.
 
KWA HIYO CCM imeisha toka madarakani?

Mkuu kifo ni kifo, kuwa tuliomba Mungu akatusikia, tumejibiwa tofauti na Rwanda na Uganda, hapa umekosea sana

JPM ni mme wa mtu, baba wa mtu, babu wa mtu kama wewe unavyotegemewa na familia yako

Kwepa kutaka kujustify kifo na UKIJIFANYISHA MUNGU kakujibu

una jeneza lina kusubiri na muda huo utakuwa peke yako. Wanaokufa kila siku ni wengi sana na sio maombi ya watu yanafanaikisha hilo, MUNGU anaamua mwenyewe

ukitaka kuongea pumba kama hizi upate likes utapata nyingi sana kwa LIKES YOU!!

Kwa kweli hata Mimi nimeshangaa Mtu kama Huyu kuongea maneno kama haya. Sio ubinadamu na si Utu kabisa. We are all under the same rule.
 
Makosa ya nyuma yalitulazimisha kama Taifa tutake kupata mbadala wa chama chawala. Na kama ilishindikana basi walau kutoka humohumo kwenye uozo apatikane mmoja dikteta asiyeangalia uso asiyecheka na nyani.

Wakati ule nikiwa mmojawapo tuliandika sana kuwa tunataka mabadiliko na kwa kukazia tukasema kwa kilugha WE NEED A COMPLETE SYSTEM CHANGE. A COMPLETELY REGIME CHANGE or rather A COMPLETE OVERHAUL.

Wahenga wanasema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Kiroho Mungu akazisikia, akazisikiliza na kuzifanyia kazi sauti za Watanzania kwa utashi wake. Ndani ya mapooza na maozeana ya CCM akapatikana mmoja. Haikuwa regime change.

Sala na maombezi huwa vina mahitaji yake maalum. Watanzania kwa hali zetu za kibinadamu tukasahau kutaja mahitaji yetu.

Tulikuwa na chaguo letu tayari kwenye regime change. Lakini hatukua na chaguo la kiwango cha mahitaji kama itakuwa dictator atakayetupeleka mperampera. Kwamba udikteta wake uanzie wapi na uishie wapi.

Tukapewa Magu sawasawa na maombi yetu. Halafu tukakiona cha mtema kuni. Tukafinywa tukafinyika. Vilio na maumivu vikawa vingi kila mahali.

LAKINI; Mungu huyu anawapenda sana watanganyika. Anatambua heshima, uchaji na imani yao linapokuja suala la dini. Watanzania tuna utume wa kweli, hata kama tuna mazambi yetu sirini.

Mwaka 2020 vilio vya kumlilia Mungu vilikuwa vingi mno. Eeh Mungu baba tulitaka dikteta lakini tukasahau kukupa vigezo na masharti
Kwa mara nyingine tena Mungu katusikiliza. Si Uganda wala Rwanda wamepata hii bahati ya kusikilizwa ASAP.

2021 Mola kamchukua mja wake. Apumzike kwa amani. Tuna la kujifunza kubwa sana kwenye maombi na dua zetu. Sasa tumejifunza. Tuwe makini sana na dua na maombezi yetu.

Lala salama mwendazake! Tumekoma!

View attachment 1742573
Hivi kwanini tusimuache huyu mzee wa watu akalala salama. Kama mlimuombea afe basi mungu kasikiliza maombi yenu ameshakufa. Mmesherehekea, mmefurahia. Kama ni suala kuuzika upinzani, ameshauzika na hauezi kufufuka tena. Sasa hasira za nini? Mna hasira mpaka na marehemu?

Magu amekufa lakini kumbukeni Tanzania bado ipo. Mungu pia huwa hana upendeleo, kama nyinyi mliomba afe mkaona mmefanikiwa, kuna wanaoomba pia tofauti na nyie na ipo siku atawasikiliza tu. Kila kitu huwa kinatokea kwa makusudio yake, tuwe na subira ili tuone kusudio la mungu.
 
Ila Mkuu nakuheshimu sana mimi mdogo.
Ila naomba upokee maoni yangu kwako ikikupendeza nayo ni
Kuna Mda unaegemea zaidi katika mapenzi ya jambo flani na kusahau uhalisia. Jitahidi kubalance Kaka. Kazi ya Mungu haina Makosa yeye hapangiwi wala si mwingi wa ghazabu Kama sisi Binadamu tulivyo.
Mimi na wewe baada ya sekunde hatuwezi jua tutakua wapi? Si vyema kuhukum na kuona tu wakamilifu zaidi ya wengine.
Vyema kua na kiasi na kushukuru.
Nimeandika haya niliyoandika hapa JF nikitambua wazi hii ni forum ya GREAT THINKERS kuna GREAT SINKERS pia...
Kwa msingi huo nilijua itakuwa mada fikirishi na tutaelewana ama hatutaelewana pia
Mada hujengwa kwenye hatua tatu muhimu
1. Kichwa cha habari
2. Maudhui
3. Hitimisho
Mleta mada akiwa mjuzi anaweza kuamua kuileta mada yake kwa njia zifuatazo
1. Moja kwa moja
2. Kwa fasihi, mafumbo na nahau
3. Kwa mshindo nyuma
4. Kachumbari

Kwenye hii mada hakuna nilipodhihaki wala kumkosea heshima mwendazake..bali kama ukisoma kwa makini nimewaumu sisi watanzania wenyewe kwenye maombi yetu
Hatukuwa na kituo yaani tulitaka dikteta wa kunyoosha mchi lakini hatukuwa specific mikomo yake

Tukampata mwendazake na mwanzoni akafanya kama matarajio yetu wengi tulivyotaka... Lakini naye hakuwa na mikomo kama sisi tu kwenye yale maombi yetu..akafanya yake na nusu...vilio vikawa kila mahali

Tukamrudia Mungu kumlilia tena.. Akaona isiwe ishu akamchukua mja wake akapumzike.
Hapa si kwamba Mungu kamuadhibu au katusikiliza .. Bali katenda yampasayo kutenda kwetu sisi wadhambi

Dhumuni kuu la hii mada ni kutukumbusha kuwa specific kwenye maombi yetu popote.. Kwenye interview kuna kipengele watu hufeli sana na kuja kulalama baadae..
Wanapewa job description iko very clear lakini pembeni wanaambiwa 'utapangiwa na kazi nyingine pia' kwakuwa unahitaji kazi unakubali haraka.. Lakini siku ukipangiwa kazi nyingine unaanza kulalama...

All in all asante kwa ushauri.. Mimi si mkamilifu, hivyo mitazamo yangu sometimes huwakwaza wengine...!!!
 
Hakika tumesamehe yaliyopita lkn hatuwezi kusahau
Kwakweli hamuwezi kusahau. Kutoka wabunge 100 mpaka mbunge 1 siyo mchezo. Kutoka ruzuku ya m.400 kwa mwezi mpaka ruzuku 0 siyo mchezo. Lazima mumchukie huyu mtu.
 
Kwa kweli hata Mimi nimeshangaa Mtu kama Huyu kuongea maneno kama haya. Sio ubinadamu na si Utu kabisa. We are all under the same rule.
Naomba nitendee haki alumn hebu kuwa specific ni mabaya gani nimeongea
 
Back
Top Bottom