Laizer unazingua sana

Laizer unazingua sana

Wakipingwa.. ndio unakuta wanatukanana na Akina Naibu Shonza ..
wcb hawatakagi kukosolewa
 
Tatizo sio producer ni msanii, beats nyingi huwa zinatengenezwa kwa kufuatisha rhythm ya msanii mwenyewe, ni nadra kukuta beat lililosukwa halaf u msanii akaliimbia.
 
Tatizo sio producer ni msanii, beats nyingi huwa zinatengenezwa kwa kufuatisha rhythm ya msanii mwenyewe, ni nadra kukuta beat lililosukwa halaf u msanii akaliimbia.

Naongeza,
Diamond mwenyewe alisema beat ya hallelujah alikutwa ishatengenezwa akaipenda na akaiimbia.
 
Unataka maji ya kisima unaogopa kuchutama
 
acheni ....wivu wimbo mzuri..unasikilizika...unachezeka...tuache team.
 
Tatizo sio producer ni msanii, beats nyingi huwa zinatengenezwa kwa kufuatisha rhythm ya msanii mwenyewe, ni nadra kukuta beat lililosukwa halaf u msanii akaliimbia.
Mkuu ukisikiliza hii melody ya huu wimbo ni tofauti na melody ya show me, kwa hiyo producer alikua na nafasi pana ya kufanya kitu tofauti..
Pia ni Mara nyingi tu wasanii huchagua beats na kuandikia tofauti na unavyofikilia
 
acheni ....wivu wimbo mzuri..unasikilizika...unachezeka...tuache team.
Hakuna aliesema wimbo mbaya au kazungumzia team hapa kilichozungumziwa ni producer kurudia sample za beats..
Producers wengi waliokua wakifanya hivyo mwisho hupotea angalia kina Bob junior, lamar (fish club), mazuu, mesen selekta.

Hakuna chuki mkuu
 
Hakuna aliesema wimbo mbaya au kazungumzia team hapa kilichozungumziwa ni producer kurudia sample za beats..
Producers wengi waliokua wakifanya hivyo mwisho hupotea angalia kina Bob junior, lamar (fish club), mazuu, mesen selekta.

Hakuna chuki mkuu
sawa Mkuu..ahsante
 
Nipo kwa gari naisikiliza nyimbo tamu sana hii...

Haters tafuteni pa kutokea...
 
Back
Top Bottom