ni jambo jema kua mwanamke decent but usipokaa vizuri unaweza kuangukia kwa mwumizaji
Habari zenu wakuu,
Kwa kawaida mwanaume ndie msemaji wa kwanza na mwanzisha mahusiano. Sasa sijui kwanini hua mnakurupuka kuanzisha mahusiano bila kufanya assessments za kutosha mwisho wa siku pande zote mbili ni kilio.
Hii ni ya kidunia zaidi, ukija kiroho zaidi wote mwanaume na mwanamke anapaswa kumwomba sana mungu ili amlocate kwa right partner but all in all mwanaume anapaswa kumtafuta mungu zaidi juu ya hili jambo.
Ningekua mwanaume nisingefanya maamuzi ya haraka haraka kuanzisha mahusiano without kumconsult mungu first, then ningefanya assessments nyingine nyingi halafu nikishaanzisha uhusiano ningempenda sana tena sana mwanamke na kumheshimu.
Kwa kufanya hizi kusingekua na majanga ya kuumizana kama ilivyo sasa. Kila binti ninayekutana nae kaumizwa kisa mwanaume hakufanya maamuzi sahihi mwanzo.
Please badilikeni kaka zangu
na ningekua nisingemtenda mtoto wa mtu yeyote
unaona? Kwa style hii ya kutamani tamani majanga hayataisha aisee, wewe umefuata uzinzi unamdanganya binti wa watu unampenda na binti anafungua moyo kwa mtu aliyefuata uzinzi ndio maana wadada wanalizwa daily
mbiiii mnanso
wanawake wengi ndio wanatendwa
najivunia sana tena sana. Swali langu kwanini unifuate wakati hujafanya maamuzi sahihi. Jipime nipime ndio unifuate na sio kufanya maamuzi ya harakaharaka kunifuata
hakuna lolote dawa yao hao ni kuwadyudyu tu cz ucombe umwoneshe demu unampenda loi dunia utaiona upside down mara uongee peke yako njiani tena akishajua unampenda ndo mama yangu unaweza hama mtaa niulizeni yaliyonikuta unafikiri ntarudia ule upuuzi kamwe.Ila wao wakitendwa wavyotia huruma utafikiri wagonjwa vile.
Ha ha nakutakia kila la heri uwafundishe. Vidyudyu vyao vikisimama unavilaza kwanguvu sawaa eeh.