Mambo VIP bestAkikutumia sms usi reply, akipiga usipokee,atakusahau tu ni yeye tu labda hataki kukusahau, Bible inasema " Ndoa na iheshimiwe na watu wote" hakukuwa na sababu ya wewe kuwa na mpenzi wakati una mke. Acha kabisa huo mchezo
Ndeeefu, nipeni summary aliyeelewa.
Lipia basi hili tangazo ndugu..!Moja, anasema hata akikutana na huyo mchumba wake, hana hisia za kufanya sex mpaka avute hisia kana kwamba yuko na mimi. Anasema utamu anaopata kwangu mpaka mwili unasisimka akivuta hisia ndo anafumba macho amkumbatie huyo bwana wake ndo aje apate momentum ya mechi
Anatangaza biashara mdogo wangu."NAMUONEA HURUMA HUYU MWANAUME ANAYEKWENDA KUMUOA HUYU BINTI AMBAYE ANAKWENDA KUOLEWA KWA SHOW OFF!!"
Ndani ni story ya uchapakazi na uvumilivu wa huyo binti,
Wewe umeoa, unamsaliti mkeo na huyo binti.
Mama wa huyo binti anamtaka mwanae aolewe,
Binti anakupenda wewe zaidi na hataki kukuachilia,
"JAMANI HAPA NAWAZA MENGI KICHWANI SIPATI MAJIBU, NIFANYAJE NITUMBUE JIPU HILI"
Sijaelewa kabisa,
Unamshauri wa nini, hajielewi huyu na kitakachofata ngoja mwenye mke aje amnase, kama hajabong'oleshwaUshauri wangu, mshirikishe mkeo wa ndoa hii habari nina imani atakushauri vizuri zaidi na utaacha kuyawaza hayo mengi unayoyasema.
Otherwise, mkuu unahitaji kujitambua.