Laiser hair removal

Laiser hair removal

Rwaz

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,281
Reaction score
4,112
Wataalam wa ngozi tusaidiane. Nataka kuua ndevu kabsa mana zmeamua kuwa nyeupe au mvi mapema. ndevu zangu ni nying sana za kurundikana. Mtaalam wa salun kanambia hata magic powder ninayotumia kwa miaka mingi ina madhara(side effects) hizo. Au hata umri. Je kuua ndevu kwa njia ya Laser ni njia rafik? Je, kwa dar huduma ipo?
 
Back
Top Bottom