Kama unamtindo wa kutoa toa line kwenye simu Basi Kuna uwezekano itakua ime scratch kwenye vile vi gold barsInabid nikipata muda niende ofisin kwao yan imegoma kabisa kusoma mtandao sio simu ndogo hadi simu kubwa pia dahh
Yangu iligoma pia kama siku nne zilizopita. Niliwatafuta katika mitandao ya kijamii wakaniambia nifike ofisini. Nilikwenda ofisini nilipowaambia tu laini ilikata network moja kwa moja wakanipa karatasi za kuomba line mpya. Inaonekana ni tatizo wanalijua. Nilipewa line mpya na inafanya kazi sasa.Aseeh lain yangu ya Halotel imegoma ghafla kusoma kwenye simu both smartphone na kitochi
Je, hili tatizo ni kwangu tu au kuna aliepata shida kama yangu?