Lain za chuo airtel

Lain za chuo airtel

Bei gan unauza ww mm rafk yangu kanunua 2000 ,na wewe bei gan ,,na nilikonunua 2000 nitawadirect member wengne ww ukiwa na bei zaid
 
Yeye amesema anaehitaji,sasa ww kama hauitaji kaa kimyaa

Ndio kabisa, maana hata mimi sijawahi kujua kama kuna line za airtel za chuo, kwa hiyo pengine angenambia zina faida na zauzwa 5000 ningeweza nunua, mwache dogo atengeneze kipato chake!
 
Bali kwa laini ya kawaida ileile, unajiunga vifurushi mbalimbali ama kwa vocha za Uni, vocha za kawaida au kwa Airtel money.

I was just adding the details Mzee.
Kwahyo, jamaa alitaka kututapeli sio
 
Back
Top Bottom