Nyamisangura
Member
- Jan 4, 2018
- 87
- 109
Hakika wimbo mpya wa Lady Jay Dee unaoitwa nani anaweza kusimama ni wimbo mzuri mno kuanzia ujumbe mpaka rhythm yaani kiukweli,komando bado anadhihirisha ni moto wakuotea mbali
Haikua bahati mbayaKuna pahala kacheza wigi likaanguka kisha akatoka nduki, EDITOR wa hiyo video kachemka...CHEKI HAPO View attachment 726852 View attachment 726853 View attachment 726854 We Mcheki hapo kacheza WIGI likaanguka akaamua kutoka nduki...POOR editing...
Wala Editor hajachemka. Hiyo ni Creativity.Kuna pahala kacheza wigi likaanguka kisha akatoka nduki, EDITOR wa hiyo video kachemka...CHEKI HAPO View attachment 726852 View attachment 726853 View attachment 726854 We Mcheki hapo kacheza WIGI likaanguka akaamua kutoka nduki...POOR editing...
Wala hamna poor editing wigi lilianguka kwel na wakafanya maamuzi hicho kipande wasikitoe coz itapendeza zaidKuna pahala kacheza wigi likaanguka kisha akatoka nduki, EDITOR wa hiyo video kachemka...CHEKI HAPO View attachment 726852 View attachment 726853 View attachment 726854 We Mcheki hapo kacheza WIGI likaanguka akaamua kutoka nduki...POOR editing...
HahahahahahahahhahKuna pahala kacheza wigi likaanguka kisha akatoka nduki, EDITOR wa hiyo video kachemka...CHEKI HAPO View attachment 726852 View attachment 726853 View attachment 726854 We Mcheki hapo kacheza WIGI likaanguka akaamua kutoka nduki...POOR editing...
Tata hata hapa Buswege watu wanaufurahia sana wimbo huu.Hakika wimbo mpya wa Lady Jay Dee unaoitwa nani anaweza kusimama ni wimbo mzuri mno kuanzia ujumbe mpaka rhythm yaani kiukweli,komando bado anadhihirisha ni moto wakuotea mbali
hahaa kama hiyo ni creativity basi grade 10Wala Editor hajachemka. Hiyo ni Creativity.
Hahhahaa...Kuna pahala kacheza wigi likaanguka kisha akatoka nduki, EDITOR wa hiyo video kachemka...CHEKI HAPO View attachment 726852 View attachment 726853 View attachment 726854 We Mcheki hapo kacheza WIGI likaanguka akaamua kutoka nduki...POOR editing...
Walikubaliana hiyo pati ndio itavuta Wabongo waangalie, maana Wabongo kwa nyepesinyepesi....."shoga saa ngapi wigi likaanguka, cheki video uone"Wala Editor hajachemka. Hiyo ni Creativity.
Haikua bahati mbaya
Haha basi na mimi ni mmoja wao...Walikubaliana hiyo pati ndio itavuta Wabongo waangalie, maana Wabongo kwa nyepesinyepesi....."shoga saa ngapi wigi likaanguka, cheki video uone"
Kitalam zaid asante mkuunafanya sana kazi za graphics na editing.. huyu jamaa anafikiri ma editor ni wapuuzi.. kazi kabla haijatoka inaangaliwa karibu mara 100 wakati ana edit na muda mwingine usiku kucha kila scene anaangalia sana wakati anafanya transition effects.. na baadae mteja nae anaangalia sana na management yake.. haiwezi kutoka na kosa la kizembe kama hilo .. hilo lingefutwa zamani sana na editor.. hiyo ni plan