Mungu Mkubwa am great fan of this singer kama hajaweka Matabara she is real expecting Natamani apate mtoto and my little Girl is called Judith kwa sababu Mimi ni fan wake mno!
Wasomi wa Psychology na body Language JD katika post yake Instagram hajaweka wazi ila kuna Kipindi alikua anafanya Mazoezi na Tumbo lake likawa Slim. Lakini Hivi Majuzi ame post picha yake ambaye inaonesha ana tumbo ambalo labda linaweza kuwa ni Mimba ambayo bado Changa.
Ukitazama Maneno ya kwenye Post akamalizia kwa Kusema Maneno haya hayausiani na Picha. Sisi wataalamu wa Lugha za siri Unaweza Kusema Dada alikua anasisitiza Jiangalie Pica tena kawa Umakini.
Mie simpendi kwa vile we kada wa Lumumba unampenda Troll JF ila ndo utajua kati ya yeye na G habash nani kimeo. Kibuti cha kashfa hakijawai muacha mtu salama
Mbona ni Kitu ambacho Kinaonekana mkuu hata hiyo shilwadu Mimi Huwa sizifuatilii Nyumbani kwangu kuna Desktop ya Mancntosh na WiFi ya Smile Sina TV mimi