lady jay d

kwa kutumia mbinu kama za sheikh yahya nimeona

Lady jayd ana mazuri kama ya Maroune
Vile vile nyota zainaonysha Lady jayd ana mabaya kama ya kama ya Maroune

Kwa hiyo fanya jitihada ujitambue mwenyewe kwanza utapata majibu.

Kama na wewe hujijui basi kalete machozi ya simba na mbuzi wa bluu nikuchekie kwenye satelite


:rofl::rofl:

 
Simple: Add mimi kwa block list yako ili usiione forever vinginevyo kinyaa hakitaisha!!..Halafu kinyaa unakijua wewe?au una kichomi?


hahaha yani hapo ameshindwa kutofautisha kati ya kinyaa an kichomi?..Belinda umeniua mbavu.
 
jamani naomba mnipe mazuri na mabaya ya lady jay dee

hivi alipofanya ile tafrija kwa wabaya wake wewe hukualikwa?. Hivi ukimuona utamjua: maana yake kamuulize mwenyewe au habash.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom