Ladies..u rejected him when he had nothing..

Tofautisha mambo ya kusoma na mahusiano
 
Mm wangu alinitosa nliposimamishwa kazi, nimepata kazi nyngine ananitafuta mara babby babby wakati nshaweka mwngine ndani mamaee
Safi sana... mkazie hivyo hivyo wanakera sana hao jamaa

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
she is single mother now, a lot can happen in 2 years as u can imagine.. kila mtu kapata alichotaka nadhani..
ndo maana nakuambia kuna second chance ktk maisha,mayb usichana ulimsumbua so saizi anajutia aliyoyafanya
 
Daah mkuu umenifikirisha sanaa
Nkiwaangaliaga hawa viumbe nachekaga tu
 
Dah ..Alikuambia live ama kwa msg ama alikupigia simu mkuu

Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
Alianza kwa meseji, nikaona ka utani nikampigia. Nililokutana nalo doooooooh! Sikia hivyo hivyo tu ndugu
 
Hivi haujawahi kuona watu wanapendana kiasi kwamba unahisi hapa lazima wataoana na mwisho wa siku unasikia wameachana.......basi ndo ujue Mungu hakupanga wawe wote
 
Great
 

Dah! Huo ni uuaji! Hayo majibu ni zaidi ya bullets to your heart. Ndio maana watu wengine huishia kuwa players. Pole ndugu na Mola akupe wepesi wakusamehe Ila umpate wa faraja.
 
Dah! Huo ni uuaji! Hayo majibu ni zaidi ya bullets to your heart. Ndio maana watu wengine huishia kuwa players. Pole ndugu na Mola akupe wepesi wakusamehe Ila umpate wa faraja.
Asante mkuu. Nimeshasamehe siku nyingi. Na wa kunipa Faraja yupo mkuu.

Shida ni huyu sasa kagundua Sponsors wamemchoka wameenda kwa "More younger Girls" na wengine wamerudia na kutulia na family zao. Ananisumbua sana kila akipata nafasi. Anajaribu kutafuta angalau moment moja enzi hizo iliyotufurahisha ndio anakumbushia.

Namweleza ya kuwa Nina mtu na Mungu akijalia Logistics zikae safi ntamuoa awe mke wangu. Hanielewi analia lia tu anaomba Japo ajira.

Nikamuuliza, "Je wewe umechanjiwa waume/fiancee za watu au? Maana wakati nikiwa wako peke ako ulinipa shi.t, ukawa na waume za watu. Leo na Mimi mchumba wa mtu ndio unanitaka kwa fujo zote."

Mungu Atusaidie Tu

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
 

Anahitaji maombezi na counselling huyo. Ila don't entertain her, anaweza kukuharibia mahusiano yako ya sasa. Hata kama ni ajira labda umpe channels kwingine atafute mwenyewe.

Hongera mkuu, kusamehe sio rahisi ila ukiweza hukufungulia milango mingi ya neema.
 
I am not Entertaining Her Kabisa. Simu yangu hana namba kabisa.

HUnimendea sehemu ambazo anajua ntaenda tu , mfano Kanisani, Sokoni, Carwash etc.

Akinipata huko ndio hutumia nafasi hiyo kusema yake, namsikiliza kisha naondoka namwambia ngoja nimuwahi Mke Wangu Mtarajiwa.

Ndugu Mimi ni Mwepesi sana kusamehe.

Ndugu asante kwa kunitia Moyo

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…