Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
He is in his 35-50 yrs....
Ana mtoto mmoja angekua na wengi kwa mama mmoja ni sign anapenda watoto
Watoto wakiwa kwa mababy mama tofauti hapo majanga...
Ukiona ana umri huo na ana mtoto mmoja tu ujue ni selfish anayeona Maisha yake kayamaliza,hana haja ya kuaoa na kuanzisha familia...iliyobaki ni kuwatumia tu wanawake.
Mavazi yake,utagundua anavaa kama mtu aliyepitwa na umri vile..lol...namaanisha mavazi sio appropriate kwa age yake...utam spot tu..lol
He enjoys chasing,and as soon ukionyesha unataka commitment anakutafutia sababu akuache….
Nyingine jazieni tupeane ufahamu..lols
Ana mtoto mmoja angekua na wengi kwa mama mmoja ni sign anapenda watoto
Watoto wakiwa kwa mababy mama tofauti hapo majanga...
Ukiona ana umri huo na ana mtoto mmoja tu ujue ni selfish anayeona Maisha yake kayamaliza,hana haja ya kuaoa na kuanzisha familia...iliyobaki ni kuwatumia tu wanawake.
Mavazi yake,utagundua anavaa kama mtu aliyepitwa na umri vile..lol...namaanisha mavazi sio appropriate kwa age yake...utam spot tu..lol
He enjoys chasing,and as soon ukionyesha unataka commitment anakutafutia sababu akuache….
Nyingine jazieni tupeane ufahamu..lols


