Challya
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 462
- 579
Sasa kama hana akili ya kuendesha mali zake angewezaje kuzitafuta na kuzizalisha hadi zikawa nyingi?Anaweza akawa anakili kitu but asiwe na akili ya kuendesha zile mali zake, na akakutana na ww ukampa muongozo mzuri na akazidi fanikiwa na akupenda sana tu. Unaweza ukaanza chini na mtu na bado akawa msumbufu kwenye mapenzi akaspend kile mlichotafuta wote na wanawake wengine.