Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,784
- 120,598
Mwanamke hajui kubadilisha oil ya gari, hajui kuendesha semi-trailer, hajui kusafisha bunduki, hajui kutegua bomu la nyuklia.... Hajui kupigana na predator.
Huyo mwanamke me wa kazi gani..... Si bora ni bakie pekee yangu.


daah

Naomba nikuoe tutaanza chini kabisa