yap wanafanya, kuna madoc wanaume, tena ndio wengi wanaosaidia kinadada wanaougopa umama kufanya hllo, lakini pia kuna kina kaka ambao huzikataa hz mimba, kuna wanaolazimisha kuwa zitolewe na hata kulipia ili hlo lifanyike, kwa hyo wote wanawake na wanaume wanahusika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.