YeahAre you confirmed?
Course inayoongoza kwa watt wa kike MUST kila mwaka, uende ukasome lasivyo utapata × where by (3.4>=×>=0).

Hii walinichukua mwaka jana cbe lakini sikwendaLab tech kozi ambayo nimeipiga Dit miaka 3 iliyopita ndo nimemaliza bt mpka nw sijawah jutia cz tangu nmalize chuo miaka 3 iliyopita nineshafanya kaz sehem nne na hapa nilipo ni sehem ya 5,lab iko marketing sana japo namm narud chuo tena mwaka huu kupiga jiwe bt nabadilisha fani nataka nkapige legal and industrial metrology inatolewa na chuo kimoja tu na ukimaliza unaajiliwa na wakala wa serikali wa vipimo WMA hapa nchini kwasababu inademand ya watu wengi
Ukaze sana DIT sio pamchezo!Wala uckonde kwa hilo tutapiga msuli kichaa cndio wanataka weny nchi
Me must co DITUkaze sana DIT sio pamchezo!
Kwnn hukwenda mkuu??Hii walinichukua mwaka jana cbe lakini sikwenda