Labda mi ndo sielewi, nisaidieni...

Eversmilin Gal

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
778
269
mi cielewi labda nimeona mtu amepanda kwa gari na familia yake anetoka job kanpandishwa mbele mfanyakazi mwenzake nyuma ndo kapanda mke wake na mtoto je nisawa?
 
mi cielewi labda nimeona mtu amepanda kwa gari na familia yake anetoka job kanpandishwa mbele mfanyakazi mwenzake nyuma ndo kapanda mke wake na mtoto je nisawa?
ni sawa ikiwa tu ni makubaliano ya wanafamilia wenyewe, lakini si sawa ikiwa ni kwa shinikizo la huyo anayeitwa mfanyakazi mwenzake.
 
hyo hata me nshakutana nayo! cku 1 nlikwenda kutembelea family ya rafk yangu. sa wkt twatoka out nkamwona rafk angu na mwanae wanaingia ct ya nyuma nkamwambia mama d mbna waingia ct ya nyuma akaniambia kukaa na mtoto ct ya mbele ni risk make kama ikitoke ajali ya ghafla mtoto ndo atatangulia kuchomoka kwenye kioo cha mbele! so hii yaweza kuwa ndo sababu
 
So mshkaj wangu tukitoka job tukamptia wife inabidi mwana mpishe wife!ha ha ha,kwani kataga mayai anayalalia kwenye gari!kwan mbele kunani?uo ni ushamba na usumbufu!
 
Ni jambo la kawaida sana usijali, ila sikunyingine omba kukaa nyuma ili usipate wasiwasi!
 
eversmiling gal,keep on smilling! hakuna ha ajabu hapo,hata ningekuwa mimi nisingekubali nikae mbele na mwanangu akae nyuma.kwa usalama wa mtoto ni bora kukaa nae!after all,kukaa mbele hakumaanishi kuwa wewe ndo mke wake,kama ni wako ni wako tu!
 
eversmiling gal,keep on smilling! hakuna ha ajabu hapo,hata ningekuwa mimi nisingekubali nikae mbele na mwanangu akae nyuma.kwa usalama wa mtoto ni bora kukaa nae!after all,kukaa mbele hakumaanishi kuwa wewe ndo mke wake,kama ni wako ni wako tu!

umenena vyema!
 
Inawezekana kabisa mamaa kaona mshua na mshkaji wake wanaweza kupiga story vizuri zaidi kama wote wakikaa mbele. After all mamaa na mshua wapo pamoja siku zote, ikiwa pamoja na all night, huyu mgeni anakuwepo kwa muda mdogo tu.

Ki-Afrika hii gesture inaweza hata kuchukuliwa kama heshima kwa mgeni.

Unless ile seat ya mbele imebandikwa label kwamba "seat ya mamaa", haiko mukinga.
 
Unamaanisha nini????Halafu kizungu ndo lugha gani?Sijawahi kuisikia tangu nipate akili!
Sa we siulijidai msomi mbona unauliza namanisha nini, next time acha kurukia reli kwa mbele.
 
Back
Top Bottom